hilo ni tatizo kubwa kwa watu wengi. tatizo lingine ni kunuka mdomo, yaani watu wengi nakutana nao wananuka sana mdomo utafikiri kuna choo ndani, hasa wanaume, akiwa anaongea unatamani kuondoka. mimi mwenyewe wakati mwingine kama sijala mda mrefu najistukia naogopa nisijenuka kama wengine. nafikiri ni kukithiri kwa kuzamia chumvini wakuu mdomo umebadilika kuwa mbunye, itabidi tuache ule mchezo hata kama wengi wetu tunaupenda (hasa unaposikilizia chumvi na kauharufu ka nyanya kakipenyeza puani hadi akilini...)