Naomba msaada wa tatizo la kukosa hamu ya kula

Mambaenock

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
427
Reaction score
107
Habari wana jf,natumaini mu wazima wa afya.

Mimi ninasumbuliwa na tatizo la kukosa hamu ya kula chakula kila ninapotaka kula matokeo yake nazidi kupungua tu.

NOTE: siumwi ugonjwa wowote unaonisababishia kukosa hamu ya kula,
naomba msaada wenu.
 
Bora umeleta huu uzi maana unanihusu huu, Ngoja waje kwa msaada!!
 
kunywa maji lita 6 kila siku
asubuhi 2lt, mcha 2 na ucku 2....iwe nusu saa au zaid kabla ya kula kitu chochote
 
Habari wana jf,natumaini mu wazima wa afya.
mimi ninasumbuliwa na tatizo la kukosa hamu ya kula chakula kila ninapotaka kula matokeo yake nazidi kupungua tu.
NOTE: siumwi ugonjwa wowote unaonisababishia kukosa hamu ya kula,
naomba msaada wenu.
KWA KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.

Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.
Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula chakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na hukuongeza hamu ya kula na kukufanya mchangamfu. Tumia Dawa kisha uje unipe Feedback Mkuu.@Mambaenock



kama kula huwezi, jaribu kunywa
Anywe kitu gani mkuu georgeallen?

Cc MziziMkavu n @gourgeousmimi,
Mama mkwe hujambo lakini farkhina
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu,
naona umeishaijibu vizuri sana, mkuu. aongeze na juisi-embe,au chungwa,auchlorophyll,au apple, au pineapple, au pawpaw etc ni nutritious, with lots of vitamins, enzymes, minerals etc
 
hilo tatizo linatambulika pia kama malabsorption diesease kwamba una tatizo la digestive enzymes kufanya kazi inavyotakiwa,ugonjwa huu pia huambatana na dalili kama tumbo kujaa gas,kukosa choo,ama choo kinachotoka kinakuwa na hakiko kawaida kama unavyokuwa mzima kabisa chaweza kuwa na vitu kama kamas nk dk hupima choo nk

Kama dalili zako zinaendana na hayo muone dk kwa ushauri na vipimo,huu ugonjwa usipotibiwa kwa muda mrefu una madhara makubwa,ukipata matibabu ukapona njoo na feedback wengine waweze saidika
 
Kula matunda kwa wingi na maji yaani baada ya mda utakuwa na hamu ya kula,, au tumia vitamin b,, huongeza hamu ya kula
 
jamani sasa mm nipo kinyume kidogo ya huyu mleta mada , mm ttz langu napenda kula jaman yaani nakula ovyoovyo mpaka nakereka na hiii hali imenifanya nimenenepa nimekua kama beseni nisaidieni ninywe dawa gani au nifanye nn ili nipunguze hamu ya kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…