Ni upungufu wa vitamins(avitaminosis) haswa zile za kundi B. Tumia matunda na mboga za majani kwa wingi (green leafy vegetables). Na pia unaweza ukatumia vidonge vya vitamins but ni muhimu kuhakikisha unakula a balanced diet ili tatizo lisijirudie.Kwa wataalam naomba kujua nna michubuko midogo midogo Kwenye lips zangu inachoma choma mithili ya pilipili. Je Ni ukosefu wa nutrients flan pia tiba yake ni nini tafadhali
Mkuu tumia Vaseline changanya na sukar nyeupe paka mdomoni wakati wa usiku kaa nusu saa suuza kwa maji ya uvuguvugu . tuletee mrejeshoKwa wataalam naomba kujua nna michubuko midogo midogo Kwenye lips zangu inachoma choma mithili ya pilipili. Je Ni ukosefu wa nutrients flan pia tiba yake ni nini tafadhali
[emoji120] [emoji120]Ni upungufu wa vitamins(avitaminosis) haswa zile za kundi B. Tumia matunda na mboga za majani kwa wingi (green leafy vegetables). Na pia unaweza ukatumia vidonge vya vitamins but ni muhimu kuhakikisha unakula a balanced diet ili tatizo lisijirudie.