hakuna kitu kama hicho,sababu ni uchafu mkuu, hiyo wanaita p*mbu erosion ,ukimaliza kuoga jifute na towel safi na uoge mara kwa mara na anti bacterial soaps.
Una fungus sasa Hizo sehemu za Nje za korodani zimekuqa nyepesi sana na maji uke yana Acid nzuri tu so sababu ya fungus kutafuna hizo korodani zangi yale maji ya Uke yanauwezo wa kufanya hilo ganda la nje kubanduka kwa urahisi tu.
Tafuta TERBINAFINE cream upake kila unapooga.
Una fungus sasa Hizo sehemu za Nje za korodani zimekuwaga nyepesi sababu yakuliwa na fungus sana na maji uke yana Acid nzuri tu so sababu ya fungus kutafuna hizo korodani zako yale maji ya Uke yanauwezo wa kufanya hilo ganda la nje kubanduka kwa urahisi tu.
Tafuta TERBINAFINE cream upake kila unapooga.
Vipi unasex na mwanamke mmoja tu?
Inawezekana huyo mwanamke ndo ana fungus sugu, mi kuna mwanamke nilikuwa naye yan majanga yalikuwa hayaishi, nimetumia tube za kila aina. Nilivyoachana naye tu matatizo yote yakaisha!
Usafi Na Kujifuta Vema Ukauke Halafu Paka Whitfield Mambo SafiNafikiri maelezo yanajitosheleza chief kama unaweza nisaidia
Niko na mwanamke mmoja kwa sasa before that sikua na tatizo hilo kabisa
Unaumia??na ngozi ikitoka inarudi nyingine??Mkuu naoga sana na pia najisugua mnoo na inatokea tuu ninapokua nimemaliza ku sex kesho yake pumbu zina anza kutoa ngozi
Ulikuwa unaumia?Niliwahi kuwa na tatizo hili miaka mingi iliyopita na sijui niliponaponaje
Ilikuwa haiumi kivile. Nikajua nyeto ndio source kumbe hapana maana muda huo nilikuwa simjui mwanamkeUlikuwa unaumia?
Ngozi ilkuwa inakuja nyngn?
Za majukumu,
Mimi ni kijana nimekuwa na tatizo la kubanduka kwa ngozi ya korodani mara tuu ninavyomaliza ku sex na mwanamke na hii inatokana na kugusa yale uke kwenye korodani.
Nahitaji msaada wa kitabibu nijue chanzo na suluhisho la tatizo. Thank you in advance
Labda ulvyokuwa unapiga nyeto pumbu znamwagiwa shahawa ndo maana ngozi ikawa imababuka[emoji3][emoji3][emoji3]Ilikuwa haiumi kivile. Nikajua nyeto ndio source kumbe hapana maana muda huo nilikuwa simjui mwanamke