Naomba msaada wa ufafanuzi wa haya kuhusu biashara ya kukopesha fedha

Naomba msaada wa ufafanuzi wa haya kuhusu biashara ya kukopesha fedha

mchuziwapweza

Senior Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
107
Reaction score
149
Nahitaji mtu mwenye uelewa wa biashara ya kukopesha fedha (micro credit).

Je leseni naipata wapi baada ya kufungua kampuni?

Minimum capital ni shilingi ngapi?

Naweza pata mtu wa kunifanikishia kupata leseni?
 
Mkuu Mshana heshima yako! Da na Mimi hii ya pili inanigomea naomba msaada wako tafadhali.
 
Nahitaji mtu mwenye uelewa wa biashara ya kukopesha fedha (micro credit).

Je leseni naipata wapi baada ya kufungua kampuni?

Minimum capital ni shilingi ngapi?

Naweza pata mtu wa kunifanikishia kupata leseni?
 
Back
Top Bottom