Naomba msaada wa ufafanuzi wa neno "KAA VIZURI" kwa jinsi ya kike

sawa mkuu.nadhan hiyo ni kwa usiku lkn mchana ukimwambia kaa vzr anabana miguu
 
Kwahivyo mtu asiulize linalo mtatiza kisa..[emoji15]
Alafu kama hayo mambo mengi ya nchi yanayo hitaji kujadiliwa, siuende kwenye majukwaa mengine ili ukajadili yanayo jenga nchi...[emoji57]
Ebu tupishe sie tupunguze stress bhana.....
 
Kwahivyo mtu asiulize linalo mtatiza kisa..[emoji15]
Alafu kama hayo mambo mengi ya nchi yanayo hitaji kujadiliwa, siuende kwenye majukwaa mengine ili ukajadili yanayo jenga nchi...[emoji57]
Ebu tupishe sie tupunguze stress bhana.....
Kupunguza stress sio lazima utukane, kwani kwanini usimuulize mamake mzazi kuwa mama mbona nikuambia kaa vizuri mchana una bana miguu na usiku huwa mnapanua miguu halafu utapata jibu lake. Mambo ya kuondoa stress yapo mengi tu si lazima kudhalilisha wanawake. Ukiambiwa tu hapo kuwa mtu kampanua miguu dadako utakuja juu kuwa umetukanwa sasa unapo generalize wanawake wote maana yake mamako naye yupo.
 
Ngoja waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…