MAKUNENGO
Member
- Oct 25, 2014
- 69
- 6
Nina umri wa miaka 21.. Kwaiyo kwa heshima na taadhima ningeomba uitikie pale unapostahili,
Kwa wakubwa zangu shikamooni.....na wenye rika langu au wadogo zangu habari ya sasa..!!
nilimaliza mwaka jana Kwa mchepuo wa CBG. nilihairisha mwaka kwa sababu nyingi hivi...
na haya ni matokeo yangu ya form six
Gs D, Chem E, Bios D, Geo C, Bam E ( 2014).
haya ni mapendekezo yangu kwa udahili mpya kwa mwaka wa masomo 2015/2016
1. Bachelor of science in psychology and counseling
Jordan university
2. bachelor of science in computer science and software Engineering... RUCO
3.Bachelor of science in production and operation management MZUMBE
4. bachelor of science in environment science UDOM
5.Bachelor of science education ST JOHN.
Kutokana na experience yako na jinsi unavyofaham katika compition ya ajira/ kujiari na hata uwezekano wa kupata nafasi katika vyuo tajwa hapo juu naomba unishauri km niache ivyo ivyo... nifanye nyongeza ipi huku nikipunguza kipi katika mtiririko upi?
ushauri siyo lazma sana uzingatie kozi ambazo ni priority za loan ... just zozote ambazo unaufaham nazo..
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Kwa wakubwa zangu shikamooni.....na wenye rika langu au wadogo zangu habari ya sasa..!!
nilimaliza mwaka jana Kwa mchepuo wa CBG. nilihairisha mwaka kwa sababu nyingi hivi...
na haya ni matokeo yangu ya form six
Gs D, Chem E, Bios D, Geo C, Bam E ( 2014).
haya ni mapendekezo yangu kwa udahili mpya kwa mwaka wa masomo 2015/2016
1. Bachelor of science in psychology and counseling
Jordan university
2. bachelor of science in computer science and software Engineering... RUCO
3.Bachelor of science in production and operation management MZUMBE
4. bachelor of science in environment science UDOM
5.Bachelor of science education ST JOHN.
Kutokana na experience yako na jinsi unavyofaham katika compition ya ajira/ kujiari na hata uwezekano wa kupata nafasi katika vyuo tajwa hapo juu naomba unishauri km niache ivyo ivyo... nifanye nyongeza ipi huku nikipunguza kipi katika mtiririko upi?
ushauri siyo lazma sana uzingatie kozi ambazo ni priority za loan ... just zozote ambazo unaufaham nazo..
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.