Wakuu tafadhalini sana naomba msaada wenu, kijana mkorofi, mtukutu amemaliza f4-2010 matokeo ana D moja tu ya biology,veta hataki anataka kuunga certificate ya business, akaomba ali-sit mwaka huu 2011, shuleni fujo, walimu wanadai anakunywa pombe, sigara, kutoroka n.k wamemfukuza na malalamishi km hayo alikuwanayo akiwa f4, nimechoka sana, naomba msaada wenu wa kila hali niko tayari na ndio first born, je pana shule ya WATUKUTU kama hawa ?
nionavyo mimi
1. Maombi
2. hiyo ni adolescence inamsumbua kaa nae chini muulize mipango yake ya maisha na usiwe mkali sana, relax muulekeze bila kumgombeza kama anataka kuwa mtu huku dunia anapaswa kuenenda vipi? kwa sababu yeye anaona anavyofanya hayo ndo maisha
3. msome mtoto kama sio adolescence pengine ana frustration fulani na anaona hiyo ndio njia.
4. chunguza kwa umakini makundi ya huyo mtoto na akiwa nyumbani dont let him be so loose keep him busy by different activities whether he likes them or not.
5. usiwe na wasiwasi hilo ni jaribu tu katika familia yako litapita
6. kama unaweza pata shule ya masista au mapadri watakusaidia pia kumnyoosha
7. mkazanie sana kujifunza mambo ya dini ili aone hayo matendo yake si sawa hata kwa Mungu
8. punguza kiasi cha pesa unachompa coz anapata wapi hela ya pombe.
9. muambie hautakuwa nae milele he has to get his own life on track.
10. usichoke kumpenda
Wakuu tafadhalini sana naomba msaada wenu, kijana mkorofi, mtukutu amemaliza f4-2010 matokeo ana D moja tu ya biology,veta hataki anataka kuunga certificate ya business, akaomba ali-sit mwaka huu 2011, shuleni fujo, walimu wanadai anakunywa pombe, sigara, kutoroka n.k wamemfukuza na malalamishi km hayo alikuwanayo akiwa f4, nimechoka sana, naomba msaada wenu wa kila hali niko tayari na ndio first born, je pana shule ya WATUKUTU kama hawa ?
POLE KWA MKASA.INGEKUWA VEMA KAMA UNGETUJUZA NANI ALIMLEA ALIPOKUWA MDOGO?JE ALIKUWA ANAADHIBIWA ALIPOKUWA ANAFANYA MAKOSA PINDI ALIPOKUWA MDOGO?ALIKWENDA SHULE AKIWA NA KIASI GANI CHA MATUMIZI?KULIKUWA KUNA UTARATIBU WA KUMSEMA ANAPOFANYA MAKOSA?NYUMBANI KUNA MALI INAYOMPA KIBURI?ANAVUTA BANGI?NIJIBU HAYO ILI NIKUPE MENGINE.TAFUTA MZEE WA HESHIMA AMBAYE ATAMPA DARASA LA KUTOSHA JUU YA MAISHA NA TARATIBU ZAKE.kuna uwezekano ujana unamsumbua!pia wakati mwingine jaribuni kutomjali ili ajue umuhimu wenu!Pia akileta utata mpelekeni mahakamani kwa makosa anayotenda,nina iman akifungwa itakuwa vizuri kidogo.Kuna mmoja alifungwa karud kanyooka.Pia ikiwezekana mbembeleze aende JKT ATARUD NA ADABU.
nlidhani ingekuwa busara kama ungetoa maoni yako kwa kumshauri na sii kwa kumkejeli we kama huna jibu sii ukae kimya tu.Yatakukuta na ww naona bado hujui nini maana ya uzazi.Eti waalimu wanadai kwa mtoto ni mlevi, anavuta bhange, anatoroka... Wazazi wengine bwana!
POLE KWA MKASA.INGEKUWA VEMA KAMA UNGETUJUZA NANI ALIMLEA ALIPOKUWA MDOGO?JE ALIKUWA ANAADHIBIWA ALIPOKUWA ANAFANYA MAKOSA PINDI ALIPOKUWA MDOGO?ALIKWENDA SHULE AKIWA NA KIASI GANI CHA MATUMIZI?KULIKUWA KUNA UTARATIBU WA KUMSEMA ANAPOFANYA MAKOSA?NYUMBANI KUNA MALI INAYOMPA KIBURI?ANAVUTA BANGI?NIJIBU HAYO ILI NIKUPE MENGINE.TAFUTA MZEE WA HESHIMA AMBAYE ATAMPA DARASA LA KUTOSHA JUU YA MAISHA NA TARATIBU ZAKE.kuna uwezekano ujana unamsumbua!pia wakati mwingine jaribuni kutomjali ili ajue umuhimu wenu!Pia akileta utata mpelekeni mahakamani kwa makosa anayotenda,nina iman akifungwa itakuwa vizuri kidogo.Kuna mmoja alifungwa karud kanyooka.Pia ikiwezekana mbembeleze aende JKT ATARUD NA ADABU.
Wakuu tafadhalini sana naomba msaada wenu, kijana mkorofi, mtukutu amemaliza f4-2010 matokeo ana D moja tu ya biology,veta hataki anataka kuunga certificate ya business, akaomba ali-sit mwaka huu 2011, shuleni fujo, walimu wanadai anakunywa pombe, sigara, kutoroka n.k wamemfukuza na malalamishi km hayo alikuwanayo akiwa f4, nimechoka sana, naomba msaada wenu wa kila hali niko tayari na ndio first born, je pana shule ya WATUKUTU kama hawa ?