Shabrahman
Member
- Apr 17, 2014
- 42
- 3
kwa jina naitwa shabani ni mwanafunzi nilie hitimu o-level mwaka 2013 na kupata matokeo yafuatayo PHYSICS-B ,CHEMISTRY-C ,BIOLOGY-B+ ,B/MATHS-B ,ENGLISH-B+ na C kwa masomo yaliyobaki. na kipindi cha kujaza SEL form first priority nilichagua TECHNICAL COLLEGE[Must, Dit ,Atc etc] na second priority ilikuwa form 5&6 respectively. hivyo basi kutokana na matokeo hayo nina matumaini makubwa ya kuchaguliwa huko technical colleges sababu hata vigezo nimetimiza.
Sasa naombeni ushauri ni course ipi nzuri ya kuchukua kulingana na soko la ajira[market] na ugumu wa kozi[ingawaje hakuna kozi nyepesi ila kuna zenye unafuu kulingana na uzoefu wenu] kati ya hizo apo.
1.civil engineering
2.computer science
3.information technology
4.mining engineering
5.electric engineering
6.electronics and telecommunication engineering
7.mechanical engineering.
??????????????????????????????????????????????????
Sasa naombeni ushauri ni course ipi nzuri ya kuchukua kulingana na soko la ajira[market] na ugumu wa kozi[ingawaje hakuna kozi nyepesi ila kuna zenye unafuu kulingana na uzoefu wenu] kati ya hizo apo.
1.civil engineering
2.computer science
3.information technology
4.mining engineering
5.electric engineering
6.electronics and telecommunication engineering
7.mechanical engineering.
??????????????????????????????????????????????????