The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Si tushakubalina wewe ni kataa ndoa?Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie
Mpokee Yesu awe Mwokozi wa maisha yako. Hayo yote unayofanya hutatamani kuyafanya.Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie
SinaUna mtoto?
Tafuta mtoto then achana na habari za kuoa. Endelea kula mbunyeSina
Filisika watakukimbia woteWataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie
HahahahTafuta mtoto then achana na habari za kuoa. Endelea kula mbunye
Unauliza au unaelezea? Naona umemalizia na alama ya kuulizaKweli watu tunatofautiana, Mimi jinsi hela inavyozid kuingia ndio nazid kua mbahili, Yani starehe yangu kubwa mwisho wa mwezi nitume mzigo wa maana account yangu ya bank, ukishakua na mwanamke mmoja na mchepuko mmoja WA kugusa siku moja moja mbona poa tuu?
Soma vizur utaelewaUnauliza au unaelezea? Naona umemalizia na alama ya kuuliza
Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie
Uko wapi dear......Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie
Endelea hivyo hivyo kama akili yako ndivyo inavyokutuma.Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie
Nipo kigamboniUko wapi dear......
Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie.
Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa
Ila changamoto, ni kwamba kardi ninavyo pata hao wanawake na ndio Wazo la KUOA linapungua Kwa kasi sana, nimejikuta Sina interest kabisa ya kuingia kwenye ndoa.
Umri wangu 30s
Nifanyaje? Ili niwe na interest ya kuoa Ili nitulie