naomba msaada wana jf najisikia shavu la kushoto mishipa kukosa nguvu hata wakati wa kuongea ni tabu

naomba msaada wana jf najisikia shavu la kushoto mishipa kukosa nguvu hata wakati wa kuongea ni tabu

kituro

Senior Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
176
Reaction score
15
Ndugu wana jf mie ninasumbuliwa na tatizo la kujisikia shavu la upande wa kushoto kukosa nguvu au kulegealegea hivi, kuna kipindi ilitokea mishipa ilikuwa inauma nilikaa baada ya muda hali ikatoweka na badae ikajitokeza tena maumivi ya mishipa kwenye mdomo kuuma pia ikapungua na sasa najisikia dalili hizo, naomba msaada wa ushauri na tiba nichukue jukumu gani! naomba msaada wenu!!.
 
Mkuu kwanza pole kwa hilo linalokukabili...
Je unahisi ganzi upande huo au kukosa hisia?
Jaribu kufika hospitali isijekuwa una kasoro kwenye neva za fahamu.

Ndugu wana jf mie ninasumbuliwa na tatizo la kujisikia shavu la upande wa kushoto kukosa nguvu au kulegealegea hivi, kuna kipindi ilitokea mishipa ilikuwa inauma nilikaa baada ya muda hali ikatoweka na badae ikajitokeza tena maumivi ya mishipa kwenye mdomo kuuma pia ikapungua na sasa najisikia dalili hizo, naomba msaada wa ushauri na tiba nichukue jukumu gani! naomba msaada wenu!!.
 
Labda jino..nenda hospital kwanza.
 
Kaka zinaweza kuwa dalili za paralize wahi kwa daktari kwa sababu rafiki yangu alianza hivyo kumbe alikuwa na uvimbe kwenye ubongo.
 
Back
Top Bottom