Naomba msaada wapi nitatibiwa tatizo la mguu

dee a jay

Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
54
Reaction score
24
Wakuu, mimi kijana wenu nasumbuliwa na mguu sasa miaka miwili, nimehangaika kwenye mahospitali huko wameshindwa.

Tatizo langu ni kwamba, nilianza kuumwa mgongo kwa saana baadae mguu wa kulia ukawa unauma kama una uvimbe ndani hivi,hasa wakati wa asubuhi na nikikaa sahemu ndefu miguu ikiwa inahung basi nikikanyaga unyayo chini nasikia maumivu makali saana ndugu.

NAOMBENI MSAADA WENU TAFADHALI.
 
Pole sana. Hilo tatizo la mguu uwezekano mkubwa linatokana na tatizo la mgongo. Kama unaweza kachukue kipimo cha MRI uende na hiyo picha Muhimbili (MOI) watalaam watakushauri chakufanya ...
 
Aliyekushauri kuchukua vipimo vya MRI yuko sahihi..kuna uwezekano mkubwa ukawa na tatizo la pingili za mgongo wahi hosp hata hivyo umechelewa sana! Ukichelewa zaid unaweza kufanyiwa operation
 
Pole sana. Hilo tatizo la mguu uwezekano mkubwa linatokana na tatizo la mgongo. Kama unaweza kachukue kipimo cha MRI uende na hiyo picha Muhimbili (MOI) watalaam watakushauri chakufanya ...

ahsante ndugu kwa ushauriubarikiwe
 
Aliyekushauri kuchukua vipimo vya MRI yuko sahihi..kuna uwezekano mkubwa ukawa na tatizo la pingili za mgongo wahi hosp hata hivyo umechelewa sana! Ukichelewa zaid unaweza kufanyiwa operation

ahsante kwq ushauri ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…