naomba msaada wenu,ni program gani itanifaa kwa degree?

casampeda

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
2,900
Reaction score
507
mimi ninatarajia kumaliza diploma ya IT MUCCOBS mwakani, nimefikiria na nimeshauriwa kubadili programme , wengi wanachuo wanaochuku degree ya IT wamenishauri kua degree ya IT ni ngumu na vilevile haina soko hapa tanzania, je ni kweli na mnanishauri nini? na nia yangu ni kuendelea MUCCOBS.
 
haina soko masoko yote haya yaliyojaa tz kariakooo,manzese,mwenge,buguruni,tandale kote kuna masoko huko....
 
haina soko masoko yote haya yaliyojaa tz kariakooo,manzese,mwenge,buguruni,tandale kote kuna masoko huko....
kaka mi ni mwanafunzi then nahitaji msaada juu ya hili, "fafanua kisomi"
 
Siyo kweli kwamba IT haina soko Tanzania. Tatizo vyuoni wanafundisha kufaulu ili uajiliwe. Hili ndilo tatizo. IT ni pana sana inategemea unaielewa vipi. Soko la IT tz ndiyo kwanza linaanza na litazidi kukua kadri miaka inavyosogea, kwahiyo usidanganywe na hao walioshindwa.

 
kama kimbilia kwene kimbilio la wote(edcation)
 
lkn pia unaweza kusoma iyo il ujiajr mwenyewe sio mpaka serikal
 
kama kimbilia kwene kimbilio la wote(edcation)

jaman education sio kimbilio la wote ni kimbilio la wakosefu wanaoenda huko ni waliofel hawana pa kukimbilia zaidi ya edu.nadhani mtakubaliana na mim
 
Soma IT kwakua uliua umeisha anza, cha msingi jitahidi uwe na vitu vya kipekee vitavyo kutofautisha na wengine walio soma hiyo IT, soko lake ni kubwa sana isipo kua Tanganyika hatuna wataalamu waliobobea katika hiyo fani, na ndio maana makampuni mengi yanachukua vijana wengi wa IT kutoka nje ya nchi.
 
Kasome architecture, geomatics au hata building economics pale ARU, au MUST kwa architecture pia.

Utatoka poa kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…