Omba Open utapata. Wana utaratibu mzuri wa kukuendeleza. Kama wataona hizo hazitoshi watakuanzishia Foundation course. Ukipita hiyo unaanza degree kama kawa. Bidii yako tu.
Minimum admission point kwa degree chuo chochote ni 2.5 sasa hako kwa F ya GS ndio katakunyima chuo mkuu coz unapoint 2 xo umelack 0.5 ya GS,pole xna jembe
Apply utapata kwani una 2.5 minimum entry ya university usihofu gs sio ishu kwan wapo weng walipata f na wapo universty au unaweza chukua form moja kwa moja unvrsty bla kupitia tcu