Naomba msaada wenu wana JF

bird

Member
Joined
Nov 4, 2012
Posts
9
Reaction score
2
Naomba mniambie dalili za UTI na tiba yake kwa ujumla kwani nahisi kama nna huo ugonjwa,
Nahisi maumivu kama nna vidonda hivi ndanii ya uume wangu, Maumivu hayo nayapata kwenye mshipa mkubwa uliopo nyuma ya uume wangu na pia nimekuwa nikipata haja ndogo mara kwa mara na nikienda TOILET simalizi mkojo wote na baada ya muda nahisi tena kupata mkojo. Naombeni msaada wenu wana JF wenzangu.
 
Pole sana hii topic niliwahi kuijibu kwa urefu isearch thread yake bado ipo, inawezekana una UTI lakini specifically una Urethritis, kuugua kwa pipe ya kupitisha mkojo, sijui una umri gani kwa hizo dalili inawezekana pia una benign prostitic hypertrophy (BPH)/ prostitis ni uvimbe kwenye tunda la uzazi (silijui kiswahili), bado kuna masuala mengi ya kujiuliza ili kutofautisha matatizo mbali mbali yanayolingana na dalili zako (differential diagnosis)
USHAURI
Nenda spitali ilo karibu ukapime mkojo pengine unaweza kufanyiwa vipimo zaidi kama Ultrasound etc na utatibiwa kikamilifu na Antibiotic na dawa nyenginezo, usihofu ni maradhi yanayotibika bila shida.
Happy?
 
Asante sana li sheng cos nilienda kupima na kukutwa na UTI so nime2mia dawa na niko poa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…