mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Habari zenu watanzania
Mimi ni kijana nilie na umri wa miaka 28 ni mtanzania mzaliwa wa zanzibar elimu yangu ni form 4 ninaujuzi wa kutumia computer na kuitengeneza kwa hardware and software pia ninauzoefu zaid ya 5 year wa kuendesha gari ndogo na kubwa leseni yangu ni ya zanzibar ina class A,B,D na C nimewahi kuwa muandisha katika daftari la kudumu la wapigakura ha znz nikiwa km muandishi na tecnition suport team kwa yoyote anaweza kunisaidi namba yangu ni:
0777 433260
0713 476484
Ahsanteni.
Mimi ni kijana nilie na umri wa miaka 28 ni mtanzania mzaliwa wa zanzibar elimu yangu ni form 4 ninaujuzi wa kutumia computer na kuitengeneza kwa hardware and software pia ninauzoefu zaid ya 5 year wa kuendesha gari ndogo na kubwa leseni yangu ni ya zanzibar ina class A,B,D na C nimewahi kuwa muandisha katika daftari la kudumu la wapigakura ha znz nikiwa km muandishi na tecnition suport team kwa yoyote anaweza kunisaidi namba yangu ni:
0777 433260
0713 476484
Ahsanteni.