naomba msaada wenuwa mawazo ya kina

dit

New Member
Joined
Jan 13, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Ni kwa mara ya kwanza najitokeza katika ukurasa huu wadau naomba msaada wenu wa mawazo kwani nina rafiki ambaye tulipendana sana na tumedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu lakini cha ajabu mwishoni mwa mwaka jana alinitumia ujumbe kuwa umegundua kuwa sina mapenzi ya dhati kwake kwa hiyo amempata anayempenda kwa dhati kiukweli nimemfia mbaya kila nikijitahidi kumsahau inakua ngumu.nifanyeje
 
Zoea tu, ndo keshakumwaga hivyo.
Au unataka kuwa spare tyre sehemu ambayo ulikuwa mskano?

Lol, tafuta kitu kipya hapo huna chako tena.
 
Kakumwaga, kapata mwingine. . .
Umemwagwa na wewe tafuta mwingine.
 
Kwanza hujakuwa wazi. Huyo rafiki ni lover au sahibu. Kama ni lover basi ameku DUMP. If this is the case you have to forget your EX- Lover. Lakini kama ni sahibu, jaribu kujichunguza mapungufu yako. GOOD FRIENDS ARE HARD TO GET AND FAITHFULL LOVERS ARE EXTREMELY DIFFICULT TO KEEP.
 
mlipendana sana nan kakuambia?mademu ndio zao!wakipata jamaa mpya wanajifanya wamepata mapenz ya dhati!ni kawaida mkubwa!kubaliana na hali hiyo!utampata mwingine wa ukweli!pole sana
 
cha ajabu mwishoni mwa mwaka jana alinitumia ujumbe kuwa umegundua kuwa sina mapenzi ya dhati kwake kwa hiyo amempata anayempenda kwa dhati

sasa kama wewe mwenyewe kweli hukuwa na mapenzi ya dhati unategemea utasaidiwaje?
 
we kaza moyo! Maisha bila yeye yanawezekana.
 
we kaza moyo! Songa mbele, Maisha bila yeye yanawezekana.
 

Hamna cha NGUMU wala NIFANYEJE ! hajakukata miguu, mikono au kakutofoa macho! Jipange start afresh.
Semi zenye hekima na busara zasema " Usione kile ukipendacho saaana kinakutoka ukachanganyikiwa kumbe kina shari nawe mbeleni na Mungu anakuepusha nacho kwa style hiyo" penzi la kulivuta kwa bisibisi, spana, plaiz, reki, ngumi si penzi aslani.
 
sometimes

people change,
things go wrong,shit happens,but ts nah big deal n'mo
LIFE GOES ON.
 

Jinsia yako tafadhali, we mke au mume?
 
Jinsia yako tafadhali, we mke au mume?

jinsia?... hili litakuwa dume tu babake... cheki 2 stail yake ya kukomplein... ameshikwa na hofu ya kuanza kuwaaprochi hadi akamate kifaa kingine kama kile... itakuwa ngumu kidogo... keshashusha maprobability... imekula kwake... life goes on? not really... itachukua muda ajitahidi kusahau na si kukurupuka kusaka replacement haraka kwani that way... frustration garantiid...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…