Ndugu wna jamvi mambo ya kisheria na taratibu zke naomba msaada
nilikuwa namdai mtu kumbe anatumia njia za kihuni kutapeli pesa za watu sasa nimezunguka na kujua jamaa kaoa na katika kutaka kukmkamata kakimbia swali je ni haki kumkamata mke wake ili yeye aweze kurudi? Kisheria na kawaida
naomba msaada wenu wana jamvi hili
nilikuwa namdai mtu kumbe anatumia njia za kihuni kutapeli pesa za watu sasa nimezunguka na kujua jamaa kaoa na katika kutaka kukmkamata kakimbia swali je ni haki kumkamata mke wake ili yeye aweze kurudi? Kisheria na kawaida
naomba msaada wenu wana jamvi hili