Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Huyu jamaa tangu asbh anazingua watu humu jukwaani,utafute uzi wake anadai alipelekwa tour na uncle wake anayeishi Italy...jamaa ni full burudani lkn,akili ishaanza kunicheza (huenda huyu ni GuDume ameamua tu kuja kwa Id mpya ili atuvunje mbavu)Bora umeweka jukwaa la vichekesho.
Nilitaka kushangaa Moderators wanawezaje kuacha nyuzi za hivi zi survive!!
Inabidi abaki huku huku kwenye jokes ..maana yawezekena ni aina mpya ya uchekeshaji.Huyu jamaa tangu asbh anazingua watu humu jukwaani,utafute uzi wake anadai alipelekwa tour na uncle wake anayeishi Italy...jamaa ni full burudani lkn,akili ishaanza kunicheza (huenda huyu ni GuDume ameamua tu kuja kwa Id mpya ili atuvunje mbavu)
Sema A,E,I,O,U......imba izo ukimaliza kojoa ukalale [emoji41]ninaombwa musaada kujuwa kuandika vizwuri nimekuwa nikiyandika kwenye mahada zagu wengi wachekwa na kusema sijuyi kuandikwa.ni kweri nirihishia dalasa ya saba. nitashukulu edapo nitasaindiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hasante sana kwa kuniita mdudu himani yagu hailuhusu kutowa rugha mbaya kwa muanadamu mwenzagu
Huna honekana una HIMANI ya kweli ya dini, hebu muhogope mungu na utuambie ukweli wewe hupo CHAMA gani hili tuwe tunakusahidia humu JF, kuwa watetezi wako kwa kila mswahada hutakao homba.[emoji18]Hasante sana kwa kuniita mdudu himani yagu hailuhusu kutowa rugha mbaya kwa muanadamu mwenzagu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamaa comedy sana huyoHuna honekana una HIMANI ya kweli ya dini, hebu muhogope mungu na utuambie ukweli hili tuwe tunakusahidia humu JF kuwa watetezi wako kwa kila mswahada hutakao homba.[emoji18]
Anajiuguza tu wehu kila siku.[emoji18][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamaa comedy sana huyo