Humevunja mbavu zangu weweHuna honekana una HIMANI ya kweli ya dini, hebu muhogope mungu na utuambie ukweli wewe hupo CHAMA gani hili tuwe tunakusahidia humu JF, kuwa watetezi wako kwa kila mswahada hutakao homba.[emoji18]
Hata mie humenifanya nicheke kama hazinitoshi, harafu na hiro tabasamu rako kwenye ka avatar kako hunatufanya tu RIKE comenti zako, hata kama hazina maadiriii[emoji23] [emoji23]Humevunja mbavu zangu wewe
Husipende kurike kira kitu huwe hunahangalia kwanza mahadiriHata mie humenifanya nicheke kama hazinitoshi, harafu na hiro tabasamu rako kwenye ka avatar kako hunatufanya tu RIKE comenti zako, hata kama hazina maadiriii[emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyu jamaa tangu asbh anazingua watu humu jukwaani,utafute uzi wake anadai alipelekwa tour na uncle wake anayeishi Italy...jamaa ni full burudani lkn,akili ishaanza kunicheza (huenda huyu ni GuDume ameamua tu kuja kwa Id mpya ili atuvunje mbavu)
Jamaa ni nomaHuyu jamaa tangu asbh anazingua watu humu jukwaani,utafute uzi wake anadai alipelekwa tour na uncle wake anayeishi Italy...jamaa ni full burudani lkn,akili ishaanza kunicheza (huenda huyu ni GuDume ameamua tu kuja kwa Id mpya ili atuvunje mbavu)