NAOMBA MSAADA

NAOMBA MSAADA

FCR

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2018
Posts
213
Reaction score
177
Hivi kwa mfano nikaona mkuu wa mkoa ana overtake barabarani sehemu ambayo hairuhusiwi nikapiga picha gari yake na kuirusha kwenye mtandao wa kijamii ni kosa kisheria
 
Sio kosa. Kuu we fanya ivo tena unapewa zawadi na kamanda wa. Usalama wa barabarani siro
 
Hivi kwa mfano nikaona mkuu wa mkoa ana overtake barabarani sehemu ambayo hairuhusiwi nikapiga picha gari yake na kuirusha kwenye mtandao wa kijamii ni kosa kisheria
Chonde chonde kama ni huyo wa dar ndugu yangu tutakukosa...
Anaijua sheria hiyo shauri yako
 
Back
Top Bottom