Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
Wana JF salaam.
Mimi ni mjasiriamali, nimebobea kwenye ushonaji wa nguo aina zote. Nataka kuongeza masoko yangu, mwenye infuluence kwenye Tenda za ushonaji uniforms za shule, Hospitali, Hotel na nyinginezo naomba anipe contact za watu wenye interest nikaongeze masoko. Samples kwa anayetaka zipo.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu.
Contact zangu ni 0787/0757 212122.
CD
July nimehangaika kupata fundi although likuwa mkoani, unatafuta masoko ya nyanda za Kaskazini pia? If so, will make sure to have you bid next time around. Asante.
Hongera kwa kuwa mjasiriamali CD
Naomba kujua kama kuna mahali unauza nguo zako hata kwa wanunuzi wa nguo moja moja ili tuweze kukuunga mkono!
Kila la kheri.
Hongera bosi wangu... kaza msuli... dunia ishavaa bukta!!Wana JF salaam.
Mimi ni mjasiriamali, nimebobea kwenye ushonaji wa nguo aina zote. Nataka kuongeza masoko yangu, mwenye infuluence kwenye Tenda za ushonaji uniforms za shule, Hospitali, Hotel na nyinginezo naomba anipe contact za watu wenye interest nikaongeze masoko. Samples kwa anayetaka zipo.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu.
Contact zangu ni 0787/0757 212122.
CD