Naomba msaada

Naomba msaada

sister

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
9,014
Reaction score
6,847
Namtafuta rafiki yangu nimepotezana naye kama miaka miwili hivi na kwa bahati mbaya namfahamu huyo rafiki yangu kwa jina moja tu, sijui anapoishi ingawa yupo dar na alishawahi kunielekeza kwake kwamba unashuka kituo kinaitwa sayansi ila baada ya hapo nimesahau unaelekea wapi mana sikufanikiwa kwenda, na wala sijui anapofanyia kazi. please mwenye idea yoyote ya kumtafuta mtu kama huyu kwamba nifanyeje mana namba yake ya simu sina nilipoteza na nina shida naye ya muhimu kweli. je nikienda kwenye kampuni ya mtandao wa simu niliyokuwa natumia kipindi hicho wanaweza kunipa records ya namba zangu nilizokuwa nimesave kipindi hicho?please naombeni msaada wenu,
Ahsante.
 
Sina uhakika kama kampuni za simu wanaweza kutoa taarifa za mteja bila ruhusa yake. Hiyo ndio njia rahisi ya kumpata huyo rafiki yako.
 
Sina uhakika kama kampuni za simu wanaweza kutoa taarifa za mteja bila ruhusa yake. Hiyo ndio njia rahisi ya kumpata huyo rafiki yako.
thanx kwa ushauri wako, ila nilitaka wanipe taarifa zangu mana nilimsave kwenye simu ambayo sasa hivi siitumii na nikampa mdogo wangu hiyo simu na yeye akafuta namba zote akaweka za kwake na mbaya zaidi hyo simu imeblock na huo mtandao niliuama kabisa.
 
Endelea tu kuzunguka kwenye mitandao ya kijamii huku ukiweka bayana jina lako kamili unaweza kumpata. Ungeendelea kutumia jina lako bandia sina uhakika kama utakuja kufanikiwa. Jaribu face book na kwingineko.

All the best
 
Endelea tu kuzunguka kwenye mitandao ya kijamii huku ukiweka bayana jina lako kamili unaweza kumpata. Ungeendelea kutumia jina lako bandia sina uhakika kama utakuja kufanikiwa. Jaribu face book na kwingineko.

All the best
facebook nimejiondoa, afu uku JF si tunatumia majina bandia. ubaya naye namfahamu kwa jina moja tu la kwake ila la baba yake au la ukoo silifaham. thanx anyaway
 
Kama ni mtumiaji mitandao. Jaribu FaceBook utampata kirahisi. Kwasababu kule hata marafiki aliokuwa nao utawaona pia.
 
Jst google his name, try facebook coz t provides a lot of info, if uu remember his/her sec xcul go there coz they keep info where somebody comes from and sometimes with relatives contacts from there i think you will b able to trace him/her, if your real serious you can use televisions to find him/her jst show yourself and give the discriptions of the person ur looking for.
 
Jaribu ku google jina lake, au jaribu ku search face book, hi 5 na kwingineko

Unajua alisoma wapi? anafanya kazi wapi? hayo yote yangeweza kusaidia
 
Back
Top Bottom