Naomba msaada

Naomba msaada

Keben

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
725
Reaction score
175
Habari zenu wanajukwaa,nawaomba madactari na wenye kufahamu hili;
1.ninapata maumivu makali upande wa kushoto na kulia mwa abdomen.
2.mkojo wa njano sana na unaharufu kali ikiambatana na kukojoa harakaharaka
3.nikiamka asubuhi kiuno kimekaza sana(siwezi kuinama na kuinuka harakaharaka)
4.nikifanya kazi ya kuinama mfano kufua,itabidi ninyanyuke taratibu sana
5.wakati mwingine mwili unakata
NB.NAMBA 1&2 NI SERIOUS SANA.
-maumivu na dalili zimeanza kuonekana kama miaka 4 iliyopita
-nimepima,wamenipiga xray na ultrasound wakaniambia hawaoni kama kuna tatizo,hata hivyo wakanipa madawa ambayo hata hayakunisaidi,wamenibadilishia sana madawa lkn hakuna mabadiliko.imefika wakati hata madawa nikaacha.
ASANTENI
 
Mkuu Keben njisia na umri wako ni ipi?

Maumivu ni ya aina gani?.unaweza kuyaelezeaje mf. kukata, kuchoma, kusagika n.k?
-Vipi dalili kama mkojo kubadilika rangi, maumivu wakati wa kukojoa mara kwa mara? Kutapika, kutokwa jasho mara kwa mara(na mara nyingi pia), kuharisha
-Ni dawa gani ulizotumia (zilikokusaidia na ambazo hazikukusaidia).
-Uliwahi kupata ajali yeyote au kudondoka/kuanguka?
-Uliwahi kufanyiwa upasuaji?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Keben njisia na umri wako ni ipi?

Maumivu ni ya aina gani?.unaweza kuyaelezeaje mf. kukata, kuchoma, kusagika n.k?
-Vipi dalili kama mkojo kubadilika rangi, maumivu wakati wa kukojoa mara kwa mara? Kutapika, kutokwa jasho mara kwa mara(na mara nyingi pia), kuharisha
-Ni dawa gani ulizotumia (zilikokusaidia na ambazo hazikukusaidia).
-Uliwahi kupata ajali yeyote au kudondoka/kuanguka?[/QUO
Ahsante sana chief wangu....................... hebu tusubiri mhusika ajibu haya maswali, tupate a way forward
 
Asanteni
-mwanaume
-miaka 26
-maumivu ni ya kuchoma chini ya kitovu,mkojo ukinibana na wakati nimemaliza kukojoa.ila maumivu ya kusagika+kuchoma kama sindano upande wa kulia na kushoto mwa abdomen.
-mkojo wa njano sana
-jasho ni la kawaida kwani nimetoka sehemu ya baridi ila kwa sasa nakaa sehemu ya joto.
-sitapiki
-wamenibadilishia madawa mengi sana ila nakumbuka walinipa Nalidixic acid.
-hakuna dawa iliyonisaidia
-sijawahi kupata ajali. Kuanguka sikumbuki kwani nimewahi cheza mpira.
 
pole sana mkuu
unaweza kuwa na tatizo la cystitis.
Yan inflamation ya urinary bladder
inaweza kuwa imesababishwa na
1. Bacteria
2. Schistosoma.. Yan Kichocho.
3. Autoimmune ds
4. Trauma
sasa inaweza kuwa intestitial cystititis ambayo ni mbaya zaidi
najua umetumia dawa nyingi za antibiotics . Nakuomba
1. Kunywa littre 3 za maji kwa siku
2. Kunywa dawa za kichocho because tanzania ni endemic
3. Kunywa ibufen antipain
4. Jaribu new strong antibiotic. Augumentin for 7day
pia kwa badae ungetumia anti histamin na prednisolone
kwa kawaida cystitis hasa ikiwa chronic huwa ni ngumu kutibiwa
 
Asante mkuu Kim jong un,nimeupokea ushauri wako na nitaufanyia kazi. Ila na maswali machache;
1. Kuhusu bladder nimekuelewa,then how about pains on right and left abdomen? Dawa ni zilezile au kuna zingine? Mana hapo ndo napata pains zaidi kuliko kibofu.
2.kuhusu kichocho,inachangiaje kuwa na pains on right and left abdomen na mkojo kuwa wa njano?
3. Msichoche kunipa advice na njia mbadala. NAHESHIMU MAWAZO YENU
 
Back
Top Bottom