Naomba Msaada

Naomba Msaada

mustafa

New Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Naitaji kuanzisha biashara na ninamtaji wa sh 600,000. Lakini sijui nifanye biashara gani naombeni ushauri nifanye biashara gani Wadau wa JF
 
Fanya uchunguzi katika eneo unalotaka kufanyia biashara kwa kuifanyia uchunguzi bidhaa au huduma inayohitajika kwa kuangalia

uhaba wake, thamani yake, umadhubuti wake(durability) upatikanaji au uzalishwaji wake idadi ya wateja .
 
Iyo inatosha kwenye telex free...Kila week inarudi dola 50 ambapo ambapo ndani ya mwezi na nusu inakua isharudi then unaanza kula faida
 
laki sita ni pesa nyingi sana na pia ni ndogo kutokana na aina ya biashara,mfano kwa mgahawa kwa sehemu kama vyuoni
unaweza ukaanzisha kwa hiyo laki sita na ukafanikiwa,kuna saloon za kiume za kawaida unaweza ukaanzia...
 
Back
Top Bottom