Naomba msaada

Naomba msaada

Anniem

Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
31
Reaction score
1
Nilimaliza advanced Diploma ya IT Arusha na nilibahatika kupata kazi kama computer operator sasa naomba msaada wenu natafuta mahali ninapoweza kufanya katika ujuzi wangu kwani naona unapotea.
 
Nilimaliza advanced Diploma ya IT Arusha na nilibahatika kupata kazi kama computer operator sasa naomba msaada wenu natafuta mahali ninapoweza kufanya katika ujuzi wangu kwani naona unapotea.


IT iko pana Mzazi... labda ungefafanua unataka uutumie ujuzi wako katika nyanja ip....Programming, Networking
 
Back
Top Bottom