Naomba msada kupunguza unene/kitambi

Mtagwa lindi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
311
Reaction score
96
Nimeona maelekezo mengi kuhusu kutoa kitambi na unene naomba msada njia rahisi na yakisasa zaidi kupunguza unene na kutoa kitambi asante
 
Hakina njia ys mkato....mazoezi na diet vinakuhudu
 
Fanya jogging za kutosha...fanya mazoezi yatakayopelekea utoe jasho jingi...kama lengo ni kitambi mazoezi ya kubeba au kuvuta uzito havikufai...hakikisha unafanya sit-up kujenga misuli ya tumbo
 
Nimeona maelekezo mengi kuhusu kutoa kitambi na unene naomba msada njia rahisi na yakisasa zaidi kupunguza unene na kutoa kitambi asante

DAWA YA KUPUNGUZA UNENE, MAFUTA, KILO NA TUMBO





Dawa ya kupunguza Unene, Mafuta,na Tumbo inaitwa FITOFORM PLUS+. Ukihitaji
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

 
pole na kazi mkuu.hii dawa inatumiwa kwa siku ngapi,matokeo ni muda gani na ni kiasi gani ili tujiandae maana tumechoshwa na hiv vitambi na mazoezi mengine hayafanyi kazi kabisa
Mkuu ukiweza nitafute kwa wakati wako
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169




 

Attachments

  • FITOFORMPLUS+.jpg
    42.4 KB · Views: 361
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…