BabaJonii
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 277
- 141
Habarini wana Jamii Forums,
Ni mara yangu ya kwanza kupost mada hapa jukwaani ingawaje nimekua member muda mrefu kidogo..Sasa ndugu zangu mm ni Mining Engineer, nafanya kazi katika moja ya migodi ya African Barrick Gold..Miezi sita iliyopita nlipata ajali na kuvunjika mkono wa kushoto, nlipata matibabu ya hali ya juu AMI Hospital dar es salaam,baada ya siku 14 nlirejea kazini na kuendelea kuchapa kazi..last month nlikua na appointment na Dr..akanipiga xray na kuonyesha kua mfupa unaunga vyema so niendelee na maisha kawaida ingawaje chuma(iron plate) walichotumia kuunga mfupa hakitaondolewa coz its risky..
maswali yangu ni haya..
1.Kampuni inatakiwa ini compasate kiasi gan cha fedha?
2.Kuna form za compensation natakiwa nikazijazie labour office mwanza, nn cha kuzingatia nikifika huko n procedures ni zipi?
Ntashukuru sana kwa mawazo yenu
ahsanteni
Ni mara yangu ya kwanza kupost mada hapa jukwaani ingawaje nimekua member muda mrefu kidogo..Sasa ndugu zangu mm ni Mining Engineer, nafanya kazi katika moja ya migodi ya African Barrick Gold..Miezi sita iliyopita nlipata ajali na kuvunjika mkono wa kushoto, nlipata matibabu ya hali ya juu AMI Hospital dar es salaam,baada ya siku 14 nlirejea kazini na kuendelea kuchapa kazi..last month nlikua na appointment na Dr..akanipiga xray na kuonyesha kua mfupa unaunga vyema so niendelee na maisha kawaida ingawaje chuma(iron plate) walichotumia kuunga mfupa hakitaondolewa coz its risky..
maswali yangu ni haya..
1.Kampuni inatakiwa ini compasate kiasi gan cha fedha?
2.Kuna form za compensation natakiwa nikazijazie labour office mwanza, nn cha kuzingatia nikifika huko n procedures ni zipi?
Ntashukuru sana kwa mawazo yenu
ahsanteni