Hello JF members,
Mimi ni mwalimu na nina familia tayari hivyo kama mtu anataka kujipanua kibiashara huku mkoani nipo tayari kushirikiana naye Ili niwe msimamizi wake huku maana wife yupo kwa usimamizi maana hapa nilipo hakuna hio huduma.
Kama Kuna mfanyabiashara yupo tayari tunaweza tukafanya kazi pamoja.
Ahsante.
Mimi ni mwalimu na nina familia tayari hivyo kama mtu anataka kujipanua kibiashara huku mkoani nipo tayari kushirikiana naye Ili niwe msimamizi wake huku maana wife yupo kwa usimamizi maana hapa nilipo hakuna hio huduma.
Kama Kuna mfanyabiashara yupo tayari tunaweza tukafanya kazi pamoja.
Ahsante.