naomba mtu wa NECTA aje atoe huu utata

naomba mtu wa NECTA aje atoe huu utata

s0443/0206

[TD="width: 4%"] m [/TD]
[TD="width: 6%"] 42 [/TD]
[TD="width: 4%"] 0 [/TD]
[TD="width: 58%"] civ - 'f' hist - 'e' geo - 'd' kisw - 'e' engl - 'e' lit eng - 'e' bio - 'e' b/math - 'f' [/TD]

s0443/0217

[TD="width: 4%"] m [/TD]
[TD="width: 6%"] 43 [/TD]
[TD="width: 4%"] 0 [/TD]
[TD="width: 58%"] civ - 'e' hist - 'e' geo - 'f' kisw - 'e' engl - 'd' lit eng - 'e' bio - 'f' b/math - 'f' [/TD]

s0443/0218

[TD="width: 4%"] m [/TD]
[TD="width: 6%"] 42 [/TD]
[TD="width: 4%"] iv [/TD]
[TD="width: 58%"] civ - 'e' hist - 'd' geo - 'f' kisw - 'e' engl - 'd' lit eng - 'e' bio - 'f' b/math - 'f' [/TD]

s0443/0246

[TD="width: 4%"] m [/TD]
[TD="width: 6%"] 42 [/TD]
[TD="width: 4%"] iv [/TD]
[TD="width: 58%"] civ - 'e' hist - 'f' geo - 'd' kisw - 'd' engl - 'e' lit eng - 'e' bio - 'f' b/math - 'f' [/TD]

Inakuwaje mwanafunzi anapata jumla ya alama 45 anapewa daraja la IV na mwingine anapata jumla ya alama 42 anapewa daraja 'sifuri'sifuri'?

S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'
 
B+ haiwezi kuwa sawa na B flat. au A+ ni tofauti na A. Kimsingi sikuona haja kwa form four kutumia mfumo huu.
mdogo wangu kapata B 6 na A 1 kapata one ya 16 aliyepata B+ 6 na A+ kapata one points 13.
Tutazoea tu tutaona kawaida.
 
Inakuwaje mwanafunzi anapata jumla ya alama 45 anapewa daraja la IV na mwingine anapata jumla ya alama 42 anapewa daraja 'sifuri'sifuri'?

S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'

Aiseee hapa kazi ipo!...
 
Inakuwaje mwanafunzi anapata jumla ya alama 45 anapewa daraja la IV na mwingine anapata jumla ya alama 42 anapewa daraja 'sifuri'sifuri'?

S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'

...tUENDELEE KUSHANGAA WOTE NDUGU YANGU.,,MIMI SASA NASUBIRI KAULI YA RAISI TU..

HAKUNA MTU WA NECTA ATANISHAWISHI HAPA.
 
Kifungu cha 20(6) cha Kanuni za Mitihani kinaelekeza kuwa mtahiniwa atakuwa amefaulu angalau kwa kupata D mbili au C moja. Hivyo aliyepata e zote hajafaulu hata somo moja licha ya kuwa na pointi 42 atakuwa Div.0.

..kawaida yenu kukimbilia vifungu,,unasahau kwamba vimetungwa na binadamu ambao wameridhika na wala havitawaathiri..
Maskini wa nchi hii wakimbilie wapi? Nyie watoto wenu wanasoma huko ma Saints.
 
kwa hiyo mlikuwa wengi mkshindwa hata kushauriana jinsi mnavo poromosha elimu,,au hata kugomea utaratibu,,,,NYIE NDO HATA MKIAMBIWA WAFUTE MITIHAN YA FORM 4 MTAKUBALI,,,,,ukienda mwakani waambie kuna engineer anasema hajawah kuona watu wajinga kama nyie
 
Sijui kwa nini Kawambwa anang'ang'ania hicho kiti na sijui Ana agenda gani katika elimu yetu. Kila kukicha ni madudu tu kwenye sekta ya elimu. Angalia huo utumbo katika upangaji wa madaraja ya ufaulu yaani watu wana pointi za kufanana mmoja ana ziro mwingine IV. Kuna wenye PTs 41 amepata 0 wakati mwenye PTs 45 ana IV. Hivi hata hilo hawawezi kujua kuwa mwenye pointi chache ana ufaulu mzuri zaidi

Hivi Kawambwa ana nini cha kuwaeleza wadogo zetu waliofanya mtihani mwaka Jana Mtu akapata 50 akapewa C lakini aliyepata 50 mwaka huu ana B, je kwenye soko la ajira watapimwa vipi? Ni bora sasa uanzishwe utaratibu wa kuweka maksi kwenye vyeti badala ya grade

Kawambwa atuambie vigezo vipi vitatumika selection ya F5 kwa wanafunzi waliokuwa na C2 mwaka jana sasa wamepata C ya tatu mwaka huu?

brother uko very comptent kwny kufkilia mambo big up sana bro hebu 2one wenye nchi watasemaj
 
Back
Top Bottom