1. Tuma picha yako.Asalam asylum, ndugu na marafiki ndio naingia kwa awamu ya kwanza kabisa naomba kufahamishwa kanuni na taratibu za humu ndani ahsantebi.
Mkuu picha yangu ndio hiyo hapo juu, majina angalia kwenye Google account,ni muyao wa kwanza kuwa wa JF pia Sina chama na sio mwanasiasa.1. Tuma picha yako.
2. Taja majina yako halisi
3. Unaishi wapi.
4. We ni CCM au CHADEMA.
5. We ni mtanganyika au mzanzibar.
6. Neno mkuu ndio heshima ya JF.
7. PM ndio heshima ya humu.
Anza na hayo kwanza.