naomba munipokee wana JF

kigimbii

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
5
Reaction score
0
habari wana JF nawaombeni munikaribishe kwa moyo wa upendo kabisa.nimeamua kujiunga humu baada yakuumwa mudaa mrefu na kktka kipindi changu kikugumu Jamii Forum ilikua ni sehemu yangu kujifariji na topic mbali mbali pamoja na comments zenu.Ahsante
 
safi mkuu KARIBU SANA JF
 
Ahsanteni wenyeji wa Jf.nashukuru mmchukua mudaa wenu kunikaribisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…