Naomba muongozi wa kusoma chuo nje ya nchi

Naomba muongozi wa kusoma chuo nje ya nchi

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Habari zenu wakuu,

Nina mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu (PCB)na kapata division two ya 11. Ameomba degree DOCTOR OF MEDICINE hapa nchini amekosa, Kwa sasa familia tumeamua akasome nje ya Nchi. Naomba kujua yafuatayo kwa wale wazoefu:

Ni chuo gani Rwanda kinatoa degree bora ya udaktari?
Vigezo vyao vipoje hasa kwenye issue ya kubadili matokeo?

Asanten sana.
 
Kama anasifa za kusoma udaktari kwa hapa bongo, ahakikishe anapata NOC certificate pale TCU. Akijiendea tu kusoma nje ilihali hana sifa atajuta.

Kwa upande wa matokeo, matokeo yatabaki villevile tu. Ukimaliza degree yako utapewa certificate of recognition kutambua degree yako ikiwa na matokeo hayohayo tu ulioyapata
 
Kama anasifa za kusoma udaktari kwa hapa bongo, ahakikishe anapata NOC certificate pale TCU. Akijiendea tu kusoma nje ilihali hana sifa atajuta.

Kwa upande wa matokeo, matokeo yatabaki villevile tu. Ukimaliza degree yako utapewa certificate of recognition kutambua degree yako ikiwa na matokeo hayohayo tu ulioyapata
Asante sana mkuu.Hyo NOC certificate ikipatikana ndo unaruhusiwa kuomba chuo?
 
Asante sana mkuu.Hyo NOC certificate ikipatikana ndo unaruhusiwa kuomba chuo?

Mkuu NOC maana yake "No Objection Certificate" kwamba ulikotoka hakuna pingamizi la wewe kusoma kozi husika, sifa unazo.

hiyo unafanya ukiwa na chuo chako tayari, cha msingi ni kuhakikisha tu kwamba una sifa za kusoma kozi husika kadiri ya tcu guidebook na chuo unachoenda Tcu wanakitambua. ili kuepuka usumbufu wa Noc yako kukataliwa.
 
Mkuu NOC maana yake "No Objection Certificate" kwamba ulikotoka hakuna pingamizi la wewe kusoma kozi husika, sifa unazo.

hiyo unafanya ukiwa na chuo chako tayari, cha msingi ni kuhakikisha tu kwamba una sifa za kusoma kozi husika kadiri ya tcu guidebook na chuo unachoenda Tcu wanakitambua. ili kuepuka usumbufu wa Noc yako kukataliwa.
Asante mkuu
 
Kama anasifa za kusoma udaktari kwa hapa bongo, ahakikishe anapata NOC certificate pale TCU. Akijiendea tu kusoma nje ilihali hana sifa atajuta.

Kwa upande wa matokeo, matokeo yatabaki villevile tu. Ukimaliza degree yako utapewa certificate of recognition kutambua degree yako ikiwa na matokeo hayohayo tu ulioyapata
Sifa anayo sema compitition ya kupata chuo ndo imemgharimu. Siku hizi madogo wanafahuru sana form six maana wanaletewa maswali ya form two plus standardization.
 
Md sijui ina nn kwa sahz ina nn....dogo lang had kampala tulipokua tunap
adharau kakosa[emoji28][emoji28]
[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3] lakini si bado second na third round zinakuja? Madogo wanafahuru sana, mitihani ni miepesi sana. Ukiona dogo anapata div.two ta siku hizi ni sawa na div.four ya kuanzia miaka ya 2011 kushuka chini.
 
Back
Top Bottom