Naomba muongozo kwa waliowahi kuoa/kuposa toka usambaani

Naomba muongozo kwa waliowahi kuoa/kuposa toka usambaani

mtu mwembamba

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
342
Reaction score
422
Habarini za majukumu wakuu? Poleni na kazi za ujenzi wa taifa.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye point,

Nina msichana toka huko Tanga kwa wasambaa, sasa nahitaji kufanya nae uchumba naomba kufahamishwa taratibu za kufuata ili niweze mchumbia.

Kwa wale wenye kuelewa taratibu na mila za huko naombeni msaada wa maoni,

Natanguliza shukrani kwa maoni yenu mtakayonipa.
 
Umeomba utaratibu wa posa ila kuna njitu zitakurupuka huko kama imetoka kula daku kuelezea tabia.
 
Achana na mila na desturi wewe nenda kiimani zaidi. Kwani hamuamini katika dini yoyote au ukweni kwako ni wapagani? Kama sharti ni kuwanunulia mtungi wa pombe siku ya kuchumbia na wewe ni muumini safi utaghairi zoezi?
 
Achana na mila na desturi wewe nenda kiimani zaidi. Kwani hamuamini katika dini yoyote au ukweni kwako ni wapagani? Kama sharti ni kuwanunulia mtungi wa pombe siku ya kuchumbia na wewe ni muumini safi utaghairi zoezi?

Ahsante mkuu kwa maoni
 
Mk
Mkuu nilituma wazee wakaenda wakazungumza nao, nikalipa fine maana alikuwa na ujauzito kisha posa na mahari nikachukua jiko langu sijutii kuoa huko nimepata mke anayenichukulia kama mtoto wake nikosapo.

Nilifunga ndoa 2019 May so hadi mwaka huu tuna miaka mitano ya ndoa tukiwa na watoto wawili
 
Mk

Mkuu nilituma wazee wakaenda wakazungumza nao, nikalipa fine maana alikuwa na ujauzito kisha posa na mahari nikachukua jiko langu sijutii kuoa huko nimepata mke anayenichukulia kama mtoto wake nikosapo.

Nilifunga ndoa 2019 May so hadi mwaka huu tuna miaka mitano ya ndoa tukiwa na watoto wawili
Hongera sana mkuu
 
Back
Top Bottom