AVO28
Senior Member
- Jan 4, 2018
- 140
- 240
Salaam wakuu, kwa wazoefu wa kuagiza magari nje naomba kujua hii gari hapa chini mpaka naikamata mkononi niandae kiasi gani? Nikimaanisha naomba gharama zote ambazo natakiwa kuzufahamu.
Gari yenyewe iko hii hapa: Used 2009 SUBARU IMPREZA/DBA-GH7 for Sale BG810429 - BE FORWARD
Gari yenyewe iko hii hapa: Used 2009 SUBARU IMPREZA/DBA-GH7 for Sale BG810429 - BE FORWARD