Naomba muongozo wa biashara ya Dhahabu kupeleka Nje ya Tanzania

Naomba muongozo wa biashara ya Dhahabu kupeleka Nje ya Tanzania

Yenga08

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2019
Posts
458
Reaction score
894
Habari zenu wana jamvi,

Naamini kabisa wapo wanajanvi waofanya biashara ya dhahabu, wananunua na kwenda kuuza Nje ya Nchi yetu ya Tanzania.

Napenda sana kufanya hii biashara ila tatizo nikukosa muongozo, maana unataka kuanza ila unakosa pakuanzia. Ni kiasi gani unaweza kuanza nacho., 1kg, 2kg au gram kadhaa.

Wanajanvi wanaofanya hii biashara naomba muongozo ili panapo majaaliwa nami nianze hii harakati.

Ahsanteni sana masee.
 
Nenda kwenye ofisi za madini ambazo ziko kila mkoa na kila wilaya za madini, hapo watakupa muongozo wa kujisajili ikiwapo na kufuata taratibu za kua dealer na kupatiwa leseni, baadae wewe utaenda kununua dhahabu kwenye masoko ya dhahabu yaliyopo kila sehemu hasa maeneo ya machimbo, baada ya hapo utaanza kusafirisha dhahabu yako ambayo ni pure ikiwa safi.

Biashara hii ina mazonge mengi unaweza kupata dhahabu za deal kutoka kwa wachimbaji wadogo au magendo ya dhahabu kutoka msumbiji au congo sasa hapo ni jukumu lako kwenda kudeclear ili uwalipe chao serikali upate vibali uendelee na safari.

Wengi hupeleka Nairobi, Dubai na Australia na Marekani naona ndio masoko yanayotamba japo biashara hiyo ina utapeli mwingi sana yaani kupigwa pesa yako yote ni kawaida au kupewa mzigo feki huko ni kawaida sana ,
 
Habari zenu wana jamvi,

Naamini kabisa wapo wanajanvi waofanya biashara ya dhahabu, wananunua na kwenda kuuza Nje ya Nchi yetu ya Tanzania.

Napenda sana kufanya hii biashara ila tatizo nikukosa muongozo, maana unataka kuanza ila unakosa pakuanzia. Ni kiasi gani unaweza kuanza nacho., 1kg, 2kg au gram kadhaa.

Wanajanvi wanaofanya hii biashara naomba muongozo ili panapo majaaliwa nami nianze hii harakati.

Ahsanteni sana masee.

Kata leseni ye dealer. Ili ikulipe anza na at least 5Kg per month. Changamoto zingine zinafanana na changamoto za biashara zingine zote.
 
Pia Mimi ninampango wa kuanza hii biashara mwakani.... Ila ntafanya Kama broker!!!
Jamani wenye elimu na hii biashara waje watupe nondo maana nahakika ukiingia kichwakichwa lazima ulie.

True story:
Baba yangu alikuwa akifanya hii biashara ya udalali wa madini kipindi hicho mimi nikiwa busy na elimu ya mkoloni, kusoma what is physics... Alikuwa na maisha safi Sana

Alinielekeza baadhi ya nondo chache kwenye hii kazi maana alikuwa na uzoefu mkubwa ... (Kutokana na utoto nilimpuuza Sana sababu na mimi nilikuwa na ndoto zangu)
Ila leo hii baba yangu Mungu kishamchukua, kafariki na ujuzi wake (alikuwa na connection kubwa Sana kwenye huu uzi wa madini)

Hivi Sasa mimi pia nimeamua kukata shauri la kujitosa huko ila kuhusu ujuzi ni mtupu haswaah.......
Kuna kitu kinaitwa black market (wajuzi watakuwa wamenielewa)
Hii ndo naenda kuanza nayo mwakani, sababu ndiyo connection pekee niliyobaki nayo mkononi kutoka kwa mzee wangu... yani ninajua sehemu ya kupata mzigo kirahisi kabisaa hata nikitaka kilo moja ya dhahabu...kutoka nchi jirani kwa kutumia jina lake na mambo yakawa Safi, twafanya hivi kutokana na uhaba wa mitaji wacha tujitose hvyohvyo kununua kimagendo Kwanza mpaka hapo msingi wa lessen na vibali ukipatikana. Ikitokea tumeshikwa na authority.... Safi tu, itakuwa ndo hatima yetu hiyo!!!🚶🚶
 
Pia Mimi ninampango wa kuanza hii biashara mwakani.... Ila ntafanya Kama broker!!!
Jamani wenye elimu na hii biashara waje watupe nondo maana nahakika ukiingia kichwakichwa lazima ulie.

True story:
Baba yangu alikuwa akifanya hii biashara ya udalali wa madini kipindi hicho mimi nikiwa busy na elimu ya mkoloni, kusoma what is physics... Alikuwa na maisha safi Sana

Alinielekeza baadhi ya nondo chache kwenye hii kazi maana alikuwa na uzoefu mkubwa ... (Kutokana na utoto nilimpuuza Sana sababu na mimi nilikuwa na ndoto zangu)
Ila leo hii baba yangu Mungu kishamchukua, kafariki na ujuzi wake (alikuwa na connection kubwa Sana kwenye huu uzi wa madini)

Hivi Sasa mimi pia nimeamua kukata shauri la kujitosa huko ila kuhusu ujuzi ni mtupu haswaah.......
Kuna kitu kinaitwa black market (wajuzi watakuwa wamenielewa)
Hii ndo naenda kuanza nayo mwakani, sababu ndiyo connection pekee niliyobaki nayo mkononi kutoka kwa mzee wangu... yani ninajua sehemu ya kupata mzigo kirahisi kabisaa hata nikitaka kilo moja ya dhahabu...kutoka nchi jirani kwa kutumia jina lake na mambo yakawa Safi, twafanya hivi kutokana na uhaba wa mitaji wacha tujitose hvyohvyo kununua kimagendo Kwanza mpaka hapo msingi wa lessen na vibali ukipatikana. Ikitokea tumeshikwa na authority.... Safi tu, itakuwa ndo hatima yetu hiyo!!![emoji124][emoji124]
Mtaji kiasi gan kufanya Black Market..?
 
Mtaji kiasi gan kufanya Black Market..?
Nadhani mtaji wa chini iwe gram 20 sio mbaya .... Ila chini ya hapo sidhani Kama ni nzuri
Kwahyo ukiweza 1kg, 250g, 50g n.k sawa lakini chini ya gram 20 utakuwa umerisk sana, maana faida itaishia kwenye usafiri na chakula (haiwezekani ufanye kazi ya hatari kias hiki halafu faida iwe sawa na Amna, Bora kuacha )
Kwa mimi ninaplan ya kuanza na 3.4m.... ambapo 2.6m itakuwa ndiyo mtaji halisi, hiyo nyingine kwa ajili ya backup (hapa ukisema usubiri mtaji mkubwa hutofanya chochote...)
 
Pia Mimi ninampango wa kuanza hii biashara mwakani.... Ila ntafanya Kama broker!!!
Jamani wenye elimu na hii biashara waje watupe nondo maana nahakika ukiingia kichwakichwa lazima ulie.

True story:
Baba yangu alikuwa akifanya hii biashara ya udalali wa madini kipindi hicho mimi nikiwa busy na elimu ya mkoloni, kusoma what is physics... Alikuwa na maisha safi Sana

Alinielekeza baadhi ya nondo chache kwenye hii kazi maana alikuwa na uzoefu mkubwa ... (Kutokana na utoto nilimpuuza Sana sababu na mimi nilikuwa na ndoto zangu)
Ila leo hii baba yangu Mungu kishamchukua, kafariki na ujuzi wake (alikuwa na connection kubwa Sana kwenye huu uzi wa madini)

Hivi Sasa mimi pia nimeamua kukata shauri la kujitosa huko ila kuhusu ujuzi ni mtupu haswaah.......
Kuna kitu kinaitwa black market (wajuzi watakuwa wamenielewa)
Hii ndo naenda kuanza nayo mwakani, sababu ndiyo connection pekee niliyobaki nayo mkononi kutoka kwa mzee wangu... yani ninajua sehemu ya kupata mzigo kirahisi kabisaa hata nikitaka kilo moja ya dhahabu...kutoka nchi jirani kwa kutumia jina lake na mambo yakawa Safi, twafanya hivi kutokana na uhaba wa mitaji wacha tujitose hvyohvyo kununua kimagendo Kwanza mpaka hapo msingi wa lessen na vibali ukipatikana. Ikitokea tumeshikwa na authority.... Safi tu, itakuwa ndo hatima yetu hiyo!!![emoji124][emoji124]
Black Market Ukidakwa na task force unakula miaka yote kama sio kufirisiwa
 
Back
Top Bottom