Habari zenu wana jamvi,
Naamini kabisa wapo wanajanvi waofanya biashara ya dhahabu, wananunua na kwenda kuuza Nje ya Nchi yetu ya Tanzania.
Napenda sana kufanya hii biashara ila tatizo nikukosa muongozo, maana unataka kuanza ila unakosa pakuanzia. Ni kiasi gani unaweza kuanza nacho., 1kg, 2kg au gram kadhaa.
Wanajanvi wanaofanya hii biashara naomba muongozo ili panapo majaaliwa nami nianze hii harakati.
Ahsanteni sana masee.
Mtaji kiasi gan kufanya Black Market..?Pia Mimi ninampango wa kuanza hii biashara mwakani.... Ila ntafanya Kama broker!!!
Jamani wenye elimu na hii biashara waje watupe nondo maana nahakika ukiingia kichwakichwa lazima ulie.
True story:
Baba yangu alikuwa akifanya hii biashara ya udalali wa madini kipindi hicho mimi nikiwa busy na elimu ya mkoloni, kusoma what is physics... Alikuwa na maisha safi Sana
Alinielekeza baadhi ya nondo chache kwenye hii kazi maana alikuwa na uzoefu mkubwa ... (Kutokana na utoto nilimpuuza Sana sababu na mimi nilikuwa na ndoto zangu)
Ila leo hii baba yangu Mungu kishamchukua, kafariki na ujuzi wake (alikuwa na connection kubwa Sana kwenye huu uzi wa madini)
Hivi Sasa mimi pia nimeamua kukata shauri la kujitosa huko ila kuhusu ujuzi ni mtupu haswaah.......
Kuna kitu kinaitwa black market (wajuzi watakuwa wamenielewa)
Hii ndo naenda kuanza nayo mwakani, sababu ndiyo connection pekee niliyobaki nayo mkononi kutoka kwa mzee wangu... yani ninajua sehemu ya kupata mzigo kirahisi kabisaa hata nikitaka kilo moja ya dhahabu...kutoka nchi jirani kwa kutumia jina lake na mambo yakawa Safi, twafanya hivi kutokana na uhaba wa mitaji wacha tujitose hvyohvyo kununua kimagendo Kwanza mpaka hapo msingi wa lessen na vibali ukipatikana. Ikitokea tumeshikwa na authority.... Safi tu, itakuwa ndo hatima yetu hiyo!!![emoji124][emoji124]
Nadhani mtaji wa chini iwe gram 20 sio mbaya .... Ila chini ya hapo sidhani Kama ni nzuriMtaji kiasi gan kufanya Black Market..?
Black Market Ukidakwa na task force unakula miaka yote kama sio kufirisiwaPia Mimi ninampango wa kuanza hii biashara mwakani.... Ila ntafanya Kama broker!!!
Jamani wenye elimu na hii biashara waje watupe nondo maana nahakika ukiingia kichwakichwa lazima ulie.
True story:
Baba yangu alikuwa akifanya hii biashara ya udalali wa madini kipindi hicho mimi nikiwa busy na elimu ya mkoloni, kusoma what is physics... Alikuwa na maisha safi Sana
Alinielekeza baadhi ya nondo chache kwenye hii kazi maana alikuwa na uzoefu mkubwa ... (Kutokana na utoto nilimpuuza Sana sababu na mimi nilikuwa na ndoto zangu)
Ila leo hii baba yangu Mungu kishamchukua, kafariki na ujuzi wake (alikuwa na connection kubwa Sana kwenye huu uzi wa madini)
Hivi Sasa mimi pia nimeamua kukata shauri la kujitosa huko ila kuhusu ujuzi ni mtupu haswaah.......
Kuna kitu kinaitwa black market (wajuzi watakuwa wamenielewa)
Hii ndo naenda kuanza nayo mwakani, sababu ndiyo connection pekee niliyobaki nayo mkononi kutoka kwa mzee wangu... yani ninajua sehemu ya kupata mzigo kirahisi kabisaa hata nikitaka kilo moja ya dhahabu...kutoka nchi jirani kwa kutumia jina lake na mambo yakawa Safi, twafanya hivi kutokana na uhaba wa mitaji wacha tujitose hvyohvyo kununua kimagendo Kwanza mpaka hapo msingi wa lessen na vibali ukipatikana. Ikitokea tumeshikwa na authority.... Safi tu, itakuwa ndo hatima yetu hiyo!!![emoji124][emoji124]
I know..... Ila siku zote bahati huwapendelea majasiriBlack Market Ukidakwa na task force unakula miaka yote kama sio kufirisiwa