Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Wakuu naombeni ushauri na mwongozo ni namna gani ya kufungua kesi ikiwa kuna mtu unamdai na hataki kukulipa?
Iwe ni kazini au kwenye mauziano ya kitu na akataka kukudhulumu huyu mtu unamshughulikiaje kisheria
Iwe ni kazini au kwenye mauziano ya kitu na akataka kukudhulumu huyu mtu unamshughulikiaje kisheria