Naomba mwaliko wa sikukuu

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2017
Posts
8,252
Reaction score
18,335
Jamani eeeh, kama kuna mtu anahitaji kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki katika msimu huu wa sikukuu asinisahau na mimi.
#kataa_kuwa_kaa
#uzalendo_ni_kupeana_mialiko
 
karibu kwangu,

uje na kuku jogoo aina ya kuchi na,

alfu tano ya soda na,

mia tatu ya bagia kwa ajili ya chai asubuhi na,

mia mbili ya kahawa,

KARIBU MGENI MWENYEJI NIPONE
 
karibu kwangu,

uje na kuku jogoo aina ya kuchi na,

alfu tano ya soda na,

mia tatu ya bagia kwa ajili ya chai asubuhi na,

mia mbili ya kahawa,

KARIBU MGENI MWENYEJI NIPONE
Aisee...ntakuja na hela ya soda, kuhusu jogoo utanisamehe
 
Karibu hapa mtaa wa Kongo tunauza mashati kutafuta riziki na mwisho wa siku utapata msosi safi kutoka kwa wamama wanaotuleteaga Chakula mida ya mchana
Ni waelewa hata kwa mkopo wanakupa ila uwe mwaminifu kesho ukiuza kumbuka kulipa deni
Maisha yetu ni mazuri tu na tunafurahia
 
ntakaribia..uzalendo ni kupeana dili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…