.......and they did what!!!??? I am totally shocked!Chenge kasoma Harvard, Kigoda kasoma Vanderbilt..
hivi hujaipata aualipata degree India
alipata degree bangladesh ya sanaa
alipata degree bangladesh ya sanaa
Tumhukumu kwa matendo yake hayo kasomea wapi alipata nini siyo mhimu sana kwetu...Natamani sana kuona amesomea wapi na wapi....na ufaulu wake!!
Profesa chachage alisema uprofesa bila mchango wa maana kwa ya jamii ya watanzania ni Bure. Sasa CV ya Nape ukijua itasaidia nini hata kama ana PHD 10? Uwezo wa Nape kiungozi na Busara yake nazijua. Sihitaji CV yake kwa sababu haibadilishi imani yangu kwake.
Ninachojua alipokea pesa za EPA toka kwa Jitu Patel. Full stop. Mwizi ni Mwizi hata kama ni profesa.
Mkuu usisahau CV huonyesha masuala mengi zaidi ya elimu!!Tumhukumu kwa matendo yake hayo kasomea wapi alipata nini siyo mhimu sana kwetu...
Inasemekana Ni mtoto wa nje ya ndoa wa mzee Mnauye,(KAMA NI KWELI ) ALIZAA NA MAMA MMOJA WA IRAMBA MAENEO YA IAMBI JINA LAKE NI Napegwa
yaani Mungu amenipa ! haijulikana kama mzee alimtunza kwa hiari au kupitia ustawi wa jamii!