Naomba mwenye connection ya viwandani - Dar es Salaam

hamza mahundu

Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
58
Reaction score
116
Habari wanajamii forums.

Kwa wakazi wa daresalam mabibo na maeneo ya jirani, Mwenye kufahamu au connection jinsi ya kupata kazi za viwandan iwe kibarua au ajira ya kudumu. Ni viwanda vipi vinatoa ajira na siku na muda wa kwenda kuomba kazi pia nini kinahitajika uendapo maeneo hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…