Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi zake ziko wapi nimzukie..Mbona ofisi zake zinafahamika, nenda tu kamuulizie kwenye ofisi zake!
![]()
huyu mdada nampenda sana ila sina details zake tangu kuzaliwa, CV yake na kama ameolewa na ana watoto wangapi,
![]()
huyu mdada nampenda sana ila sina details zake tangu kuzaliwa, CV yake na kama ameolewa na ana watoto wangapi,
Acha tamaa mbaya, haya ni maji marefu tafuta size yako.
Nyie ndio mnaorudi nyuma kimaendeleo eti tafuta size yako si useme unamaanisha nini
Dharau zinawajaa ndio kwenye kila kitu mnashauri watu wasisonge mbele enemy wa progress
Mifano ikiwa ni size yake au sio size yake mapenzi au casual urafiki yanachagua status??
Kesho ndio utaona mtu kwao wapo level ya chini anataka apply kazi ya kulipwa vizuri mtasema wewe hufai wakati akili na mengine hanayo s
Àsa wewe nenda kashauri nduguzo juu ya kuback up na sio kukatisha watu tamaa humu
Sipendi wanaoshauri watu wasijaribu who knows?