Naomba mwenye cv na datas za rita

Naomba mwenye cv na datas za rita

boma2000

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2009
Posts
3,279
Reaction score
310
attachment.php


huyu mdada nampenda sana ila sina details zake tangu kuzaliwa, CV yake na kama ameolewa na ana watoto wangapi,
 
Mbona ofisi zake zinafahamika, nenda tu kamuulizie kwenye ofisi zake!
 
tena ana roho nzuri sana. mstaarabu kupitiliza. mzukie mjengoni kwake...
 
Ukiona hivi ujue hana CV wala resume ni mjasiriamali tuu aliyeibuka kwa kuwa karibu na mzee wa ipp, ni mkimbizi toka rwanda aliyejichomeka Tanzania na kui enjoy life ya bongo kama wafanyavyo wakina kagendo
 
achane dhihaka wadau kama huna data za kutoa beta shat up
 
hajaolewa ila ana mtoto mkubwa tu,alizaa akiwa na miaka 16
 
Acha tamaa mbaya, haya ni maji marefu tafuta size yako.

Nyie ndio mnaorudi nyuma kimaendeleo eti tafuta size yako si useme unamaanisha nini

Dharau zinawajaa ndio kwenye kila kitu mnashauri watu wasisonge mbele enemy wa progress

Mifano ikiwa ni size yake au sio size yake mapenzi au casual urafiki yanachagua status??

Kesho ndio utaona mtu kwao wapo level ya chini anataka apply kazi ya kulipwa vizuri mtasema wewe hufai wakati akili na mengine hanayo s
Àsa wewe nenda kashauri nduguzo juu ya kuback up na sio kukatisha watu tamaa humu

Sipendi wanaoshauri watu wasijaribu who knows?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa kweli sina habari zake kwa undani jamani..............ila nadhani ni good women...
 
Kama binadamu yoyote labda ana mapungufu yake, lakin mimi namfahamu kwa mema tu niliyoyaona kwake.
Mpole,msikivu,hachoshi kuongea naye,ana upendo,mchapa kazi,anajipenda na kujithamini,anaijali sana afya yake, si mtu wa kukata tamaa wala kumkatisha mtu tamaa.
Mtafute kwenye website ya ofisi yake,ili ufanye contact naye ,pia upate cv yake kama kweli unamtafuta kwa wema.
All the best.
 
Nyie ndio mnaorudi nyuma kimaendeleo eti tafuta size yako si useme unamaanisha nini

Dharau zinawajaa ndio kwenye kila kitu mnashauri watu wasisonge mbele enemy wa progress

Mifano ikiwa ni size yake au sio size yake mapenzi au casual urafiki yanachagua status??

Kesho ndio utaona mtu kwao wapo level ya chini anataka apply kazi ya kulipwa vizuri mtasema wewe hufai wakati akili na mengine hanayo s
Àsa wewe nenda kashauri nduguzo juu ya kuback up na sio kukatisha watu tamaa humu

Sipendi wanaoshauri watu wasijaribu who knows?

u said it all mkuu,katika maisha ili ufanikiwe,sometimes ni lazima ku risk.Wabongo uoga uoga uoga..eti siyo size yake?Kwani umesikia anataka kumbeba mgongoni???
 
Anapatikana kona baa usiku nenda pale ufantasize na dizaini yake na uache ndoto za mchana!!
 
.......She is The Executive Director of BenchMark Productions, She once dated with IPP Chairman, but they are separated. She has one kid
 
Back
Top Bottom