Naomba mwenye kujua kuhusu Osale Otanga na Paulo Hamisi

Naomba mwenye kujua kuhusu Osale Otanga na Paulo Hamisi

Franco Zetta

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2014
Posts
1,661
Reaction score
843
Wadau na Wabobezi wa Historia ya mapambano ya Ukoloni katika Tanganyika kuna hawa Mashujaa Wawili Waafrika ambao kwa namna tofauti na Wapigania Uhuru wengine wao wali sababisha usumbufu mkubwa kwa wakoloni na walowezi katika miaka ya 50 na hasa katika Mkoa Watanga na mapango ya Amboni yakawa maficho yao,Osale Otanga akijulikana kuwa na uraia wa Kenya na Paulo Hamisi akisemwa alikuwa Mzalendo mwenye asili ya Mtae(Lushoto) tafadhari mwenye kuielewa historia yao na mapambano yao atujuze.
 
osale++cover.jpg
huyo
swissme
 
Vichwa vingine vilipewa bahati sana ya kujitambua mapema sana.
 
Vichwa vingine vilipewa bahati sana ya kujitambua mapema sana.
Nimekuelewa sana mkuu...natamani sana wengi wangekuelewa kama mimi.
Nasikia hata Yesu alijitambua mapema mno....siku hizi unafki na mihangaiko ndio inatusababishia nguvu zetu za asili zisiwe na matokeo chanya.
 
Osale Otango Tangia, nilisikia story za huyu jamaa nikiwa dogo sana. Ngoja nivute kumbukumbu halafu nitarudi kuwamegea na nyie.
 
Back
Top Bottom