xavihernandezalcantara
Senior Member
- Nov 17, 2020
- 124
- 132
DownloadWakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz
Yote maisha - madeeWakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz
All the Above - Maino/ft T PainWakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz
shukrani sana mkuuYote maisha - madee
Dear God- Kala
Yatimahadekezwi - kayman
Nakwenda - Chindo Man
vi ile live your life kumbe ni haso inazungumzia..All the Above - Maino/ft T Pain
Live Your life - T.I
Not Afraid - Eminem
All the way - Fat Joe
Nf remember thisWakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz
Pakua wimbo wowote wa The Game.. Energy yake itakupa hamasa ya kupambana.Wakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz
Hakuna maisha bora kwa kijana asiejitunza, hakuna maisha bora kwa kijana asiejifunza, kujifunza hakuna mana kwa kijana usie jitumaMmeniroga - Stamina
Soga za mzawa - One incredible
Hatuna kitu - Rich One
Fid Q - August 13
Young killer - My Power
Mabaga fresh - Tunataabika
Solo thang - Kilio changu
Nambie ngoma zake kali za haso mkuuDizasta vina ndio mkalii wao
Keep your head up-2pacWakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz