Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya hapa Form One Selection 2024 - Waliochaguliwa Kidato Cha Kwanza 2024 - Lokonewz.com - Welcome to LokoNewzHabari comrades kichwa cha habari chajieleza .Mwenye nayo please [emoji120] atume humu
Link ya nini hakuna kufeli siku hizi mpaka form IV.Habari comrades kichwa cha habari chajieleza .Mwenye nayo please [emoji120] atume humu
Hongera kwa kukomaa.....TBS walikubania lakini hawakuwezaHii nchi ya kijinga sana,yani nakumbuka kipindi tunasoma sisi ukifaulu karatasi za kwenda shule unazifata wilayan,
basi nilivyofika wilayan kuchukua karatasi wakanambia taja shule uliyofaulu nikataja,
Kucheki jina halipo kwenye listi,baada ya kurupushan kumbe jina limefanywa kuchomekwa kwenye shule B baada ya kunikata kwenye shule A.mtu mmoja akanipa siri kilichofanyika nikashukuru mungu maana sikua najua lolote,hivyo nikaripoti shule B bila karatasi ila kwasababu ilikua shule ya kitaifa na ufaulu wangu ulikua mkubwa wakashindwa kunifukuza,mkuu wa shule akanambia wewe umeandikwa kuja hapa lakin karatasi zako za tsm 9 hazipo.
Cha ajabu nilisoma pale mpaka nikamaliza na nikatoka na matokeo yangu freshi tu
N.B shule A ilikua TABORA BOYS na shule B ilikua GALANOS.
Hii nchi ina watu waliopewa madaraka ambao hawana weledi hata kidogo.yani wanaendekeza rushwa bila kujua madhara yake ya baadae,ndiomana matoto mazuzu hayatakaa yaishe kwasababu ya laana kudhulumu wenye sifa na wanaostahili.Hongera kwa kukomaa.....TBS walikubania lakini hawakuweza
![]()
UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024
BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJABOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJAwww.tamisemi.go.tz
Mwaka huu 2023, vijana waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na kufanikiwa kupata wastani wa daraja 'A' ni 53,943 (3.98%) ya wataihiniwa wote.Leo hii kafanyiwa mwanangu dah,mwanangu kapiga A za hesabu,sayansi,kiswahili na kingereza zingine B cha ajabu kapangwa shule ya kutwa.kwani wanatumia vigezo gani?naomba mnisaidie kujua.
Mwaka huu 2023, vijana waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na kufanikiwa kupata wastani wa daraja 'A' ni 53,943 (3.98%) ya wataihiniwa wote.
Kwa akili ya haraka haraka huyo wa kwako amepata wastani wa daraja "B".
Shule za sekondari bweni (za serikali) kwa nchi nzima ni 38 tu na zina uwezo wa kubeba wanafunzi 4,300 tu kwa mchujo maalumu wa hao 53,943 waliopata daraja A!
Hawa 49,643 waliobaki kwa waliopata A (53,943-4,300), wazazi wao (baadhi - wenye uwezo) hawajabwata maana watoto wao watawapeleka shule nzuri tu za private.
Alafu wewe kenge unakuja hapa na kubwatabwata,subiri majibu yatakuja alafu ndio utakapo nyamaza kimyaaaa
Laiti yangekua yamekukuta ukweli nakwambia usingeongea lugha tofauti na sisi wahanga.ila subiri utanyamaza kimyaa muda sio mrefu.Mwaka huu 2023, vijana waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na kufanikiwa kupata wastani wa daraja 'A' ni 53,943 (3.98%) ya wataihiniwa wote.
Kwa akili ya haraka haraka huyo wa kwako amepata wastani wa daraja "B".
Shule za sekondari bweni (za serikali) kwa nchi nzima ni 38 tu na zina uwezo wa kubeba wanafunzi 4,300 tu kwa mchujo maalumu wa hao 53,943 waliopata daraja A!
Hawa 49,643 waliobaki kwa waliopata A (53,943-4,300), wazazi wao (baadhi - wenye uwezo) hawajabwata maana watoto wao watawapeleka shule nzuri tu za private.
Alafu wewe kenge unakuja hapa na kubwatabwata na hiyo B yako!
Mwaka huu 2023, vijana waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na kufanikiwa kupata wastani wa daraja 'A' ni 53,943 (3.98%) ya wataihiniwa wote.
Kwa akili ya haraka haraka huyo wa kwako amepata wastani wa daraja "B".
Shule za sekondari bweni (za serikali) kwa nchi nzima ni 38 tu na zina uwezo wa kubeba wanafunzi 4,300 tu kwa mchujo maalumu wa hao 53,943 waliopata daraja A!
Hawa 49,643 waliobaki kwa waliopata A (53,943-4,300), wazazi wao (baadhi - wenye uwezo) hawajabwata maana watoto wao watawapeleka shule nzuri tu za private.
Alafu wewe kenge unakuja hapa na kubwatabwata na hiyo B yako!
Hapo ni mmoja tu ndio anaendana na shule aliyopangwa.Mwaka huu 2023, vijana waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na kufanikiwa kupata wastani wa daraja 'A' ni 53,943 (3.98%) ya wataihiniwa wote.
Kwa akili ya haraka haraka huyo wa kwako amepata wastani wa daraja "B".
Shule za sekondari bweni (za serikali) kwa nchi nzima ni 38 tu na zina uwezo wa kubeba wanafunzi 4,300 tu kwa mchujo maalumu wa hao 53,943 waliopata daraja A!
Hawa 49,643 waliobaki kwa waliopata A (53,943-4,300), wazazi wao (baadhi - wenye uwezo) hawajabwata maana watoto wao watawapeleka shule nzuri tu za private.
Alafu wewe kenge unakuja hapa na kubwatabwata na hiyo B yako!
Hapo ni mmoja tu ndio anaendana na shule aliyopangwa.
Habari comrades kichwa cha habari chajieleza .Mwenye nayo please [emoji120] atume humu
Angalia matokeo ya ERNEST JOHN SHEMLINDA,huyo ndio pekee anastahili kwenda na pia bado wamemuonea.Mwaka huu 2023, vijana waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na kufanikiwa kupata wastani wa daraja 'A' ni 53,943 (3.98%) ya wataihiniwa wote.
Kwa akili ya haraka haraka huyo wa kwako amepata wastani wa daraja "B".
Shule za sekondari bweni (za serikali) kwa nchi nzima ni 38 tu na zina uwezo wa kubeba wanafunzi 4,300 tu kwa mchujo maalumu wa hao 53,943 waliopata daraja A!
Hawa 49,643 waliobaki kwa waliopata A (53,943-4,300), wazazi wao (baadhi - wenye uwezo) hawajabwata maana watoto wao watawapeleka shule nzuri tu za private.
Alafu wewe kenge unakuja hapa na kubwatabwata na hiyo B yako!