Naomba mwenye uelewa wa huu mkopo wa Mshiko Fasta wa NMB

Naomba mwenye uelewa wa huu mkopo wa Mshiko Fasta wa NMB

naomba kujua kuhusu huo mkopo.kama heading inavyojieleza. Jf hamjawahi kuniangusha.

Karibuni
Hao mkopo ni chap ukiomba wanatathimisha salio lako la mshahara,au mapato kwa nwezi..harafu wanakupa kiwango chao cha kukopa na kulipa.....

Riba yao ni ya kawaida kama sikosei ni 10 au a 12 kwa siku 30

Wana vimeseji vya kukumbusha vya hapa na pale....hawapo kimya kama Sarary advancy.....si unajua tena mshiko fasta ni kama mchepuko wa Salary advance so wana kelele kidogo sana za hapa na pale,ila wapo good sana na friendly....hawakusemei kwa ndugu😜😜😜😜😜

Unaweza kuchelewa kulipa ila mimi sijawahi chelewa zaidi ya siku mbili.....Sasa ukichelewa kuwalipa si unakua umevunja mkataba boss...

Hapo litakalo tokea lolote siolawama zao😜😂Hivyo ukichelewa kulipa wakiamua kukubanika au kukuanika ni hiari yao...lipa kwa wakat boss!
 
Mm walinikopesha laki moja nikalipa laki moja na elf kumi na tano Kwa muda wa siku 28

Sema wako fasta muda huo huo ela inaingia 😃

Ukichelewa kulipa ikiingia ela kwenye akaunt wanabeba 😀
Mkuu ukichelewesha mda gani wanafyeka pesa ikiingia kwenye Account? Si unalipa mwenyewe kwenda kwao sio mpaka ikatwe, ufafanuzi please.
 
Mkuu ukichelewesha mda gani wanafyeka pesa ikiingia kwenye Account? Si unalipa mwenyewe kwenda kwao sio mpaka ikatwe, ufafanuzi please.
Ikipita siku ulizoahid kulipa utachagua mwenyew ni siku moja wiki au siku 28
 
Ikipita siku ulizoahid kulipa utachagua mwenyew ni siku moja wiki au siku 28
Shukrani mkuu, kwa mana ile tarehe ikifika ulitakiwa kulipa ikifika na hujalipa unaweza ongeza siku. Nyingine kama ulivyoainisha, vipi kuhusu riba kuongezeka. Asante
 
Shukrani mkuu, kwa mana ile tarehe ikifika ulitakiwa kulipa ikifika na hujalipa unaweza ongeza siku. Nyingine kama ulivyoainisha, vipi kuhusu riba kuongezeka. Asante
Mm sijawah kuzidisha mda mrefu kuhus riba kuongezeka sijui kwakweli ila muda ukipitabukiweka Hela wanakat juu Kwa juu
 
Mm sijawah kuzidisha mda mrefu kuhus riba kuongezeka sijui kwakweli ila muda ukipitabukiweka Hela wanakat juu Kwa juu
maelekezo ya kukopa tafadhali, mimi naona namaliza vocha zangu bila mafanikio
 
Hao mkopo ni chap ukiomba wanatathimisha salio lako la mshahara,au mapato kwa nwezi..harafu wanakupa kiwango chao cha kukopa na kulipa.....

Riba yao ni ya kawaida kama sikosei ni 10 au a 12 kwa siku 30

Wana vimeseji vya kukumbusha vya hapa na pale....hawapo kimya kama Sarary advancy.....si unajua tena mshiko fasta ni kama mchepuko wa Salary advance so wana kelele kidogo sana za hapa na pale,ila wapo good sana na friendly....hawakusemei kwa ndugu😜😜😜😜😜

Unaweza kuchelewa kulipa ila mimi sijawahi chelewa zaidi ya siku mbili.....Sasa ukichelewa kuwalipa si unakua umevunja mkataba boss...

Hapo litakalo tokea lolote siolawama zao😜😂Hivyo ukichelewa kulipa wakiamua kukubanika au kukuanika ni hiari yao...lipa kwa wakat boss!
10% mwezi? hapana hawa kausha damu official na serikali inalifungia macho tu. Hatari
 
Back
Top Bottom