Ngemera alistides
Member
- Jul 18, 2020
- 14
- 11
Ndo nilitaka nipate msaada wa maelezo jinsi ya kuwa regsted na jinsi ya kuutumia huu mfumo wa VAT.Umefikisha vigezo na kupata VAT certificate?
Kama unafanya shughuli za kitaalamu au zinazohusiana na hizo unapata VAT bila vigezo. Ila kwa kampuni za kawaida inabidi kwanza uwe turnover ya 200m kwa mwaka au 100m ndani ya miezi 6 ili uipate hiyo VAT certificate. Baada ya hapo utatakiwa kufile VAT returns kila tarehe 20 yamweziNdo nilitaka nipate msaada wa maelezo jinsi ya kuwa regsted na jinsi ya kuutumia huu mfumo wa VAT.
Nashukuru sana. Je kwa mtu ambaye tayari kasajiriwa anawezaje kufile returns.Kama unafanya shughuli za kitaalamu au zinazohusiana na hizo unapata VAT bila vigezo. Ila kwa kampuni za kawaida inabidi kwanza uwe turnover ya 200m kwa mwaka au 100m ndani ya miezi 6 ili uipate hiyo VAT certificate. Baada ya hapo utatakiwa kufile VAT returns kila tarehe 20 yamwezi
Unazijaza kwenye mfumo wa TRA uliopo mtamdaoni.Nashukuru sana. Je kwa mtu ambaye tayari kasajiriwa anawezaje kufile returns.