Miradi yake ni kufanya matengenezo na ukarabati wa barabara kwa kutumia technolijia stahiki ya nguvu kazi...
kazi zake huwa ni za tanroads,tarura, na halmashauri
tenda zake huwa zinarange kwenye milioni 20 mpaka 50
Kwa anayehitaji mtaalamu mwenye cheti cha labour base anicheki nipo hapa..