Jinsia yako kwanza .
Karibu sana. Jinsia muhimu ili tujue namna ya kukiadress kwenye mijadala
Baada ya kusema hayo.naomba Asprin akukague uzuri kisha faili lako litanifikia. mwekundu na Mr Rocky watalukabidhi katiba ya chama.
atoto na Honey Faith njooni mumkaribishe mwenzenu.
Umeshasema ni secret lover wako, sasa yeye atamfahamuje??? si inabid umtaje jina ili a stay away from him...au unasemaje Tinnacute π
Karibu sana. Jinsia muhimu ili tujue namna ya kukiadress kwenye mijadala
Baada ya kusema hayo.naomba Asprin akukague uzuri kisha faili lako litanifikia. mwekundu na Mr Rocky watalukabidhi katiba ya chama.
atoto na Honey Faith njooni mumkaribishe mwenzenu.
Sijakimbia jamani natumia office comp. cant use phone my ni Premium member humu he use all handset even mine..hajui kuwa nami nimo humu sasa nataka nifumanie :spy::flame:
Sijakimbia jamani natumia office comp. cant use phone my ni Premium member humu he use all handset even mine..hajui kuwa nami nimo humu sasa nataka nifumanie :spy::flame:
shem darling Kaizer jamani mekumithiii, hv ile outing yenu na Honey Faith hamjarudi tu!!!