Sema yeye mwanasiasa! hili jukwaa sijamuona
Mbona unantisha tena jamani
duuuh!!! kazi ipo, mie walaaa ckutishi, ngoja na mimi nitafute mwenyeji
mmmmh! atoto nini tena mwaya?
Ha ha ha ha jamanii we si mwenyeji humu?
Kaizer njoo unitafutie na mimi mwenyeji shem, maana wewe umezidi kunipa vitisho, na mtetezi wangu Honey Faith njoo mama nahitaji mwenyeji.
Sijakimbia jamani natumia office comp. cant use phone my ni Premium member humu he use all handset even mine..hajui kuwa nami nimo humu sasa nataka nifumanie :spy::flame:
MmmmH ndo maana nimeachwa solemba hata sitembezwi tena humu lol hata miiko sipewe!! Jamani Atoto mwache leo tu antembezi hii mitaa ya mmu jamanii siezi post chochote humu naogopa kukimbizwa!
Nimpeleke wapi na wapi kwa kuanzia?